Mwanamke kusikilizwa

Hapo penye red Ukiona mmeo anaongea lugha unayoitaka kila siku ujue kuongoza familia kumemshinda na kama siyo muumini wa ninyim ujue anajiandaa kuhamia hivi karibuni
 
yaani umenigusa sana sijui nikuulize swali japo kidogo?

ngoja nikuache tu yr great thinker
 
Sawa sawa twinto..mm penda wewe daima. Hakuna ktu kizur kama kusklza na kujal na pengne hata kuomba msamaha pale wanapo kosea. Lakn mijanaume mengi hayajui hayo na yanapenda ubabe wakat ata simba mpole mbele ya mahab
 
cousin nimefurahia sana topic yako imenigusa sana na imenisisimua kiaina yake


nimeamua kutapika hapa cousini

huwaga nasemaga hawa wanaume wasio caring wakoje?
hawawezi kuchukuliana na wanawake jinsi walivyo hawawasomi wake zao kiundaini
na mara nyingi wengine huwaga wanakurupuka katika mahusiano yani ndoa
au wanalazimishwa na wazazi wao kuoa yule mzazi anayemtaka wakati hamtaki
anabaki kusema kuwa ni bora kumtii na kumsikiliza mzazi, eti ndo heshima
kwa mzazi akisema kula ........ utakula cause mzazi kasema huoni kuwa
unabemendwa kiaina na hiyo ndoa itakuwa yako na si ya mzazi kwani
wao wazazi walitafutiwa wake au waume wa kuishi nao, mila na tamadun
zingine zinatuingiza penye madhara wakati humo ndani mtaishi ninyi wenyewe
na ndo maana wanaume wengine hawawajali wake zao kwani walilazimishwa
wengine ilikuwa ni fashion kuoa hakuwa ana mapenzi ya dhati na huyo mdada

cousin charminglady acha niishie hapo maana nitamaliza mtama bure.....
 
Last edited by a moderator:
Wengi wenye ndoa zao ni majames sababu wako kimaisha zaidi ila kelvin hao ni usharobaro tu,ukijifanya unasikiliza sana ushauri wa mwanamke utabaki kusifia wanaume wenzako tu kuwa wana hiki wana kile we baadae sana.
 
wanawake hawana fomula moja, so ujidanganye ku-apply moja na kusahau nyingine
 
Yaani kama kuna kitu kinaniboa ni mtu kunismulia depressing story ya mtu hata hamhusu...why uje uni depress. ? Kuna Wanawake hata akitazama a sad movie anataka alie umbembeleze...
 
Yaani kama kuna kitu kinaniboa ni mtu kunismulia depressing story ya mtu hata hamhusu...why uje uni depress. ? Kuna Wanawake hata akitazama a sad movie anataka alie umbembeleze...

That is another issue hiv nilie kisa movie ahha duh hii kali asee halaf ntake kubembelezwa
 
Nitavuka daraja nikifika kabla ya hapo eneo husika mtu husika hali husika na muda husika huamua ni aina gani ya jibu utajibu lakini kabla ya yote jua mwanaume ni binadamu pia don't expect too much from them.
 
Swali kwenu wanawake hivi mnajuwa kuna wakati wanaume tunakuwa tumedhurumiwa mapesa kibao kwenye mishemishe zetu na tumejaa madeni mwili mzima? Je mnalijuwa hilo? Then unataka attension yangu wakati mimi hata hamu ya papuchi yako sina.

Kwa style hii waume zenu sasa badala ya kurudi bar usiku wa manane watakuwa wanarudi asubuhi kabisa.
 
James is romantic in his own way, some ladies get turned on by James' way of life.

Kwa muktadha huu mimi ni James, sijazaliwa kuwa romantic.
 
kumbe ndo maana akina Kelvin (mabrazameni) wanawapangaga sana, mnapenda mno maneno!!!
 

Asante kwa mchango wako Konnie, nimepata kitu hapa..
 
Ukitaka kufanya kila anachotaka mwanamke kufanyiwa lazima ujitoe ufahamu kidogo

Mkuu hebu badilisha hapo wewe ndio uwe katika nafasi ya huyo mke, afu awe anakujibu hivyo. Je utafurahi??? Unajua sometime unatakiwa kumfanyia mkeo/mwenzi wako kile ambacho nawe utapenda kufanyiwa, kutomfanyia kile ambacho haupendi nawe kufanyiwa...
 

Usemayo ni kweli mkuu... Mwanamke anaweza kuchepuka hata kwa caring kidogo tu.

Hivyo basi mjitahidi kuwacare wake zenu...
 
Hakuna formula ya kuongea na mwanamke.leo akizoea hivyo atataka mapya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…