Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,044
- 1,996
Wakuu habari zenu
Juzi kuna jamaa yangu alikuja kuniuliza swali nikashindwa kumjibu. Anasema ameoa hivi karibuni ndoa yake ina miezi miwili sasa hivi. Lakini anachosema mke wake hataki siku ipite bila kufanya ngono.
Sasa jamaa anasema yeye wakati mwingine anarudi amechoka, akimueleza mwanamke haelewi anachokitaka ni kufanya. Wakati mwingne hasa siku za weekend jamaa anasema mwanamke anaweza taka asubuhi, mchana na wakati mwingne jioni na hapo usiku atamsumbua ili ampige kingine.
Sasa jamaa anauliza mwanamke atakuwa ana jini la ngono au atakuwa ana nini? Anasema akimnyima mwanaume akamuelezea hizo sababu za uchovu anahama kitandani na kwenda kulala sebuleni kwa hasira. Sasa jamaa haelewi huyo ni mwanamke wa namna gani ambae yeye hachoki?.
Naombeni majibu ndugu zangu.
Juzi kuna jamaa yangu alikuja kuniuliza swali nikashindwa kumjibu. Anasema ameoa hivi karibuni ndoa yake ina miezi miwili sasa hivi. Lakini anachosema mke wake hataki siku ipite bila kufanya ngono.
Sasa jamaa anasema yeye wakati mwingine anarudi amechoka, akimueleza mwanamke haelewi anachokitaka ni kufanya. Wakati mwingne hasa siku za weekend jamaa anasema mwanamke anaweza taka asubuhi, mchana na wakati mwingne jioni na hapo usiku atamsumbua ili ampige kingine.
Sasa jamaa anauliza mwanamke atakuwa ana jini la ngono au atakuwa ana nini? Anasema akimnyima mwanaume akamuelezea hizo sababu za uchovu anahama kitandani na kwenda kulala sebuleni kwa hasira. Sasa jamaa haelewi huyo ni mwanamke wa namna gani ambae yeye hachoki?.
Naombeni majibu ndugu zangu.