Hakuna ubaya wowote, kwangu imenitokea mara 2 waki-propose kuhusu ndoa na niakongea nao vizuri tu na wakanielewa. Tatizo kubwa huwa upande wetu wanaume,mwanamke akikueleza feelings zake unaanza kumdharau na hata kumtangaza kwa watu.
Ni vema tuchukue positively, maana hata kina dada nao ni watu na wana hisia sawa na kina kaka.
Mimi natongozwa karibu kila siku. Sikumbuki hata mara ya mwisho kutongoza demu ilikuwa lini....matter of fact...sidhani hata kama nimewahi kutongoza....yaani hata sijui unatongozaje.
kwi kwi kwi kwi komrediiiiiii dah i see una enjoy sana mkuu big up sana wewe unachagua ule yupi na yupi umtose.
Hii ya kutongozwa si jipya wengine tumezoea ndo maana suala la kuowa lipo kando kabisa, wake za watu ndo kabisa wanakuambia live....mkienda semina hasa nje ya nchi ni kumegana kwenda mbele mradi utunze siri.
Nakubaliana na wewe mkubwa kwa asilimia kubwa maana hata mimi nayaona. Mambo yamebadilika sana siku hizi.Kumegana imekuwa sio issue tenaHii ya kutongozwa si jipya wengine tumezoea ndo maana suala la kuowa lipo kando kabisa, wake za watu ndo kabisa wanakuambia live....mkienda semina hasa nje ya nchi ni kumegana kwenda mbele mradi utunze siri.
It feels good kumpiga chini demu aisee. Wee acha tu...wengine tuna bahati sana...
usijipe presha mammy kwani ujawazoea tu wanaume wa JF??? utani ni tamaduni yaooHii ni maada/mjadala tu, haimanishi hivyo kama ulivyofikiri.
Why are you frowning?
I am not frowning NN, am sad.
Wanawake hasa walioolewa wako juu sana kutongoza wanaume hasa wenye ndoa
labda sugarmummy hilooo au mdada kaolewa na kizeee anataka damu changa inayochemka hahhahahaha kazi unayo........Wanawake hasa walioolewa wako juu sana kutongoza wanaume hasa wenye ndoa. Yamenikuta hivi karibuni, nikawaeleza jamaa zang wakaniambia mbona hiyo ni kawaida sana siku hizi? Nilishangaa sana. Mwanamke mke wa mtu, wana ndoa; yuko bize kichizi eti ananipenda hawezi kuishi bila mimi.
Dah! inapendeza wanaume kutongoza tu. Wanawake wasubirie kuimbiwa hayo mashairi, wayasikilize na vile aibu aibu mambo yanapendeza. Mambo gani mwanamke ameshupaa anasukuma ajenda ya kumtaka men! Hapana, sioni kama inanoga mie. Labda ajilengeshe tu lakini asianze yeye kuwa mwongoza mada.
Si kweli hawapendi sana walioowa maana hawapatikani kiurahisi kama sisi Mabachela....maana mwenye mke wakati mwingine anakuwa hana nafasi....mabachela unapatikana anytime ......nakuambia maofisini tunaona mengi....