Mwanamke kulia njaa ni ujinga wake tuu.

Umenitukana ****! sijapenda
Magufuli alegeza tu aisee, sii kwa stress hizi zinazomwagwa mitandaoni kwa watu wasiojuana.

BTW sii lazima kupendezwa na kila kitu, hata mimi napendezwa na uwepo wa nisivyovipenda.
 
Unawatamania?
Si kila mwanamke unayemuona anaweza au atafanya upuuzi kama huo uliouandika hapo.
Kuna wanawake wanajiheshimu mkuu hivo kufanya kama hicho ulichoshauri utasubiri.
Halafu huyo mwanamke wa kuwa na watu 1000 anawatoa wapi?
Kwa style hiyo acha tu nibaki mjinga kwakweli
Yaani nimekupenda bureee!. Nahisi mtoa mada angekiwa ke wanaume wangeisoma namba.
 
Magufuli alegeza tu aisee, sii kwa stress hizi zinazomwagwa mitandaoni kwa watu wasiojuana.

BTW sii lazima kupendezwa na kila kitu, hata mimi napendezwa na uwepo wa nisivyovipenda.
Kumbe una stress, the word stress does not exist in my dictionary anyway, let alone in association with Magufuli!
 
Mmoja kaja facebook
1475414871718.jpg
kani request nika accept kaanza kuniomba hela nikastuka screen shots hzo
 
Nitaendelea kulia njaa hadi Mungu atakaponisikia na kuniinua, hakuna kitu naogopa kama kula pesa ya mwanaume nisiyekua na mpango nae, huo ni wizi. Wacha nijitunze, Mungu atanipa ila sio kwa njia hizo........

Thx sana.
Kama ulicho andika hapo ni kwel kutoka moyoni mwako...ubarikiwe saana
 
Wengine bado tuna utu! Siwezi kula hela ya mwanaume zaidi ya ofa ya soda kama sio mpenzi wangu. Mambo ya kuombaomba hela wengine hatuwezi. Mimi ata nikiishiwa vocha asiponitumia ntabaki hivyo mpaka nipate hela.
Na nikiona mwanaume sio mtoaji (nna njia ya kumpiama) naachana nae.
 
Kumbe una stress, the word stress does not exist in my dictionary anyway, let alone in association with Magufuli!
Hivi nilichopost kinahusiana vipi na wewe?
Wacha nitulie tu,...Mkuu we liendeleze, mimi nakupimia tu.
 
Kama script ya tamthilia vile.., kufikirika kwingi kuliko hualisia!
Kwa mfano wewe huwa unachunwa na wanawake wangapi kwa mwezi na huwa unatoa shilingi ngapi kwa kila mwanamke?!
Ni vyema kufikiri kidogo kabla ya kuandika..
 
Nitaendelea kulia njaa hadi Mungu atakaponisikia na kuniinua, hakuna kitu naogopa kama kula pesa ya mwanaume nisiyekua na mpango nae, huo ni wizi. Wacha nijitunze, Mungu atanipa ila sio kwa njia hizo........

Thx sana.
Naomba niwe rafki yako!
 
Kama script ya tamthilia vile.., kufikirika kwingi kuliko hualisia!
Kwa mfano wewe huwa unachunwa na wanawake wangapi kwa mwezi na huwa unatoa shilingi ngapi kwa kila mwanamke?!
Ni vyema kufikiri kidogo kabla ya kuandika..
Mini si chunwi wala sijawahi kuhonga bali huwa natoa pesa kidogo kama shukrani kwa mtu kutoa time yake kwaajili yangu.
 
Mwanamke yeyote yule ukimskia analia lia njaa ujue huyo ni mpuuzi na mjinga.
Awe wa kawaida lazima atakua na wanaume wanammendea tuu, na wale warembo ndo kabisa hawakamatiki yani hawa utakuta wanalist ya wanaume hata 1000 kwenda juu wote wanataka penzi.
Hapo akishindwa kufanya manuva na kupata pesa hakika hastahili kuwa mwanamke kabisa.
Pesa zinapatikanaga kiurahisi tuu, mfano zawadi ya birthday, nguo, kuumwa, nipe nauli nije, sijala, mwenye nyumba anadai kodi, mzazi mgonjwa na mbinu nyingine tuu nisizozijua za kijasusi.

Imagine mwanamke bithday yake ni tarehe 2 mwezi wa kumi hapo akiwatext wanaume walio kwenye list lazima watawaza kutoa zawadi hata wakigoma basi hawatakosekana 100.
Sasa piga mia moja mara hela ya chini kabisa mwanaume unaweza kumpa mwanamke ni buku teni, 10,000*100=1,000,000

Kwa nini ewe mwanamke ulie lie njaa? kwa maneno yako matamu unashindwa kumwingiza chaka sharobaro au dume lolote au domozege kweli ligeni na mapenzi? pale ukimwandikia i love you dear natamani siku ya leo iwe special kwetu ila sina pesa ya kuja kwako, likitumua unazuga umeitwa kwenu halaf next day unaanza kulipiga kalenda tuu na sababu kibao, au unalitumia picha moja kali sana linachanganyikiwa hata siku ya mtihani linasahau!
Masharobaro wao wanatoaga cha juu, wako radhi wasilipe ada au wasifanye mipango ya kimaisha watupia 500,000Tsh na ushee kwa mwanamke ili aonekana mjanja.

Hapo hujaweka lile kundi maarufu hapa nchini la watu wazima hasa vigogo hawa hutoa pesa nyingi sana, so mwanamke ukiwa mjanja hapa utasoma bure kwa pesa za wanaume na kufanya mipango kibao ya kibiashara.


Hiyo birthday ni official ila unaweza danganya ata boya flani kwamba siku flani ni birtday ili liingie kingi likupe cha juu.
Mnaweza kudanganya kwa shida kibao maana mna akili nyingi na uwezo wakuteka hisia za mwanaume na kumwingiza moja kwa moja kwenye mikono yako.

NASEMA TENA MWANAMKE KULIA NJAA NI UJINGA NA UPUUZI ULIOTUKUKA.
Hili fala kweli, waanaume 100 wanatoka sayari ya Mars?? Hata machangu wanajiuza barabarani kuna siku wanatoka kapa..!
Hebu tuwaheshimu viumbe hawa wazuri... Ni wake zetu.. dada zetu..
Nawapenda sana wanawake wote..
 
Naombea dada yako au ndugu yako wa karibu apitie maandishi yako na aufanyie kazi ushauri wako halafu uje utupe mrejesho.
 
Hakuna kinacholiwa bure mkuu,ila kumbuka kunamabazazi yatakupiga peky kazi yao ni kugawa HIV tu

acha kupotosha wenzio
 
Back
Top Bottom