Mwanamke kulia njaa kajitakia.

Mwanamke kulia njaa kajitakia.

Kwahiyo mkuu unawashauri wajiuzee??

Kumbuka kwamba hata dada yako ni mwanamke anza kumuelimisha kwanza dada kuhusu hii biashara halafu rudisha marejesho kapiga pesa ngapi??
Yawezekana hana dada ila nina uhakika ana mama.
 
Nilikuwa nakuona unaakili kumbe Hamna kitu, ulikuwa unaonekana unabusaraaa daa kweli Leo nimekushusha thamani
Amesema kwa mwanamke mtulivu idadi ya wanaume aliotembea nao haipungui 100 daa
Kwa hiyo wewe ni hao 100 au zaidi?
 
Heheheh daah MTU katembea na watu 1000 hahahaha mleta mada umezingua
 
Mmh! Aio wote wanaopenda kungonoka bana!!! Wengine tulibikiriwa bahati mbaya
Kwa hiyo hatuendekezi sana ngono... Mimi sintataka nivuke watano aisee...
 
Niliwahi kusoma makala moja matata sana kwanin watu wanakua mashoga, moja ktk 7bu ni kua mwanamme kua na baadhi ya tabia za kike au kujifanyisha kua mwanamke na kuwapima wanaume, na ikiwa atajizuia asiingie kwenye ushoga bas sehemu ya generation ake mmoja ataingia ktk ushoga kwa kurith kutoka nyuma, chondechonde baba umri sio 7bu tatizo ni ladha, ushaonesha nia basi njia itapatikana
 
Mm co mwanamke ila mtoa mada anawakosea wanawake 90% co kila mwanamke anategemea kuishi kwa mizanga ya wanaume kipindi unajifanya mwanamke uliweka mazingira ya kuintantein wanaume ila kunawanake huko mtaani mpaka kumsalimia unajiuliza naanzia wapi na ww ungekuwa wakike ungekuwa muuza mwili stupid acha kudhalilisha dada zetu
 
true, mwanamke kulia njaa ni ufala uliotukuka hali ya kuwa papuchi mzuri anayo...
Mngese ww unajua mama ako ni mwanamke unajua mpaka unazaliwa ww mama ako amehaso veepe labda umezaliwa nyuma ya soko baada ya hao wanaume unaona wanafaa leo kumkimbia mama ako achane ujinga heshimuni wanawake acheni ujinga maana bila mwanamke leo usingekuwa nyuma ya kibodi mm wakime ila ilove u my momy so much and dady
 
Back
Top Bottom