Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,063
- 1,188
Habari jf , nina mwanamke simuelewi hata kidogo amekuwa na wivu kupitiliza imefika hatua kablock watu wote nilikuwa nao karibu kama friends tu wakawaida, akaona haitoshi kanikataza nisiwe karibu na hao wanawake wengine kwani anajisikia vibaya sana akiona hayo sasa hivi karibuni ameniwekea watu wanichunguze kila nalofanya yeye akiwa hayupo na kuwalipa wamtumie pucha ikiwa nimekaa na msichana au nacheat kumbuka huyu mwanamke nipo nae ofisi moja tunafanya kazi lkn amekuwa mkorofi mno hata sielewi kwann yupo hivi kwann anafanya haya nimekuwa mtu wa kuomba msamaha kilasiku sasa sijui haya yote anafanya yann naombeni ushauri.