Mwanamke kukataa kutumia kondom

Mwanamke kukataa kutumia kondom

BABA WA IMAN

Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
55
Reaction score
7
Ni baadhi ya mabinti wengi hukataa kutumia condom.

hii ipoje.

} Kumwamini sana mwanaume

} Kumwonesha upendo wa dhati mwanaume

} Wanapata xana maumivu pindi watumiapo weza wao
hii ipoje? wadau
 
hao uliowagegeda bila condom walikuambiaje?
 
Akikataa tu, nitahisi kuna zigo anataka kunibebesha....
 
baba wa iman pengine dushe lako lina nyembe anajua hata ukivaa utaichana tu
 
Kimbia usige hata nyuma, hafai huyo.

Acha kujishaua.
Nani hapa anauwezo wa kugegeda miezi 3 ile serous relationship na condom?
wengi wenu mara 4 ya ukishajua na kuzoeana mwenyewe unaitula.
Huo ukimwi wenyewe mnaambiwa mkishapima mrudi baada ya miezi 3 kupima tena.Wengi wenu mkitoka angaza na majibu ndo sherehe ya kugegedana usiku mzima kavukavu mmesahau mlivyoambiwa chumba cha kupima.
 
Acha kujishaua.
Nani hapa anauwezo wa kugegeda miezi 3 ile serous relationship na condom?
wengi wenu mara 4 ya ukishajua na kuzoeana mwenyewe unaitula.
Huo ukimwi wenyewe mnaambiwa mkishapima mrudi baada ya miezi 3 kupima tena.Wengi wenu mkitoka angaza na majibu ndo sherehe ya kugegedana usiku mzima kavukavu mmesahau mlivyoambiwa chumba cha kupima.

Mtoto unajua kuelezea ww, hebu ni PM kwanza nikwambie kitu.
 
Ni bahadh ya mabint weng' hukataa kutumia condom. hii ipoje.
} kumwamin xana mwanaume
} kumwonesha upendo wa dhat mwanaume
} wanapata xana maumivu pndi watumiapo weza wao
hii ipoje? wadau


Kama ni type za akina Fatuma chupi pana kimbia kama jumba bovu halijakudondokea ila kama ni type ya akina Ange Kagame hata usijiulize
 
Unajiita baba wa imani halafu huwezi kuandika.Xana ndo kidudu gani?
 
Back
Top Bottom