Buntungwa
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 549
- 304
mkuu dr nisaidie kunamsemo unasema hivi ni kweli mwanamke akijifungua kwa njia ya kawaida maumbile yake yana aribika ndio maana siku izi ukitaka kujifungua unauwezo wa kuchagua operation au njia ya kawaida,sikuizi wadada wengi awapendi kujifungua kwa njia ya kawaida wakihofia maumbile yao kuaribika wanaamua kufanyiwa operation je ni kweli?:hippie::hippie::hippie::hippie: