Mwanamke kufika kileleni ndotoni (female noctunal orgasms)

Kaunga, sikatai kwamba mapepo hayapo, najua yapo.

Ila hili la ndoto za mapenzi sioni pepo anaingiaje, ukiachia ile ya dungadunga wa Dodoma

Nii kitu cha kawaida kabisa hasa kwa mtu aliyewaza ngono kwa muda mrefu.
Kama wanamme wanapata why not wanawake?
Nachokataa mbona wanamme hawaambiwi ni pepo?

Hivi unajua maana ya kuomba ili usipate ndoto za aina hii?
Mie huwa naona ni aina ya ku-connect na wewe mwenyewe na kuipa 'power'akili yako ya kutowaza ngono wakati umelala.
 
Kaunga, sikatai kwamba mapepo hayapo, najua yapo.

Ila hili la ndoto za mapenzi sioni pepo anaingiaje, ukiachia ile ya dungadunga wa Dodoma

Nii kitu cha kawaida kabisa hasa kwa mtu aliyewaza ngono kwa muda mrefu.
Kama wanamme wanapata why not wanawake?
Nachokataa mbona wanamme hawaambiwi ni pepo?

Hivi unajua maana ya kuomba ili usipate ndoto za aina hii?
Mie huwa naona ni aina ya ku-connect na wewe mwenyewe na kuipa 'power'akili yako ya kutowaza ngono wakati umelala.

Kongosho sikuwaza ngono tu pekee yake. Hata kwa wapenzi ambao wanananihii mara kwa mara kama watakuwa mbali kwa kipindi kirefu kidogo basi hizi ndoto zinaweza kumtokea binti pia kama inavyotokea kwa wanaume.



 
Last edited by a moderator:
Kaunga, sikatai kwamba mapepo hayapo, najua yapo.

Ila hili la ndoto za mapenzi sioni pepo anaingiaje, ukiachia ile ya dungadunga wa Dodoma

Nii kitu cha kawaida kabisa hasa kwa mtu aliyewaza ngono kwa muda mrefu.
Kama wanamme wanapata why not wanawake?
Nachokataa mbona wanamme hawaambiwi ni pepo?

Hivi unajua maana ya kuomba ili usipate ndoto za aina hii?
Mie huwa naona ni aina ya ku-connect na wewe mwenyewe na kuipa 'power'akili yako ya kutowaza ngono wakati umelala.

Unaweza omba usisikie njaa na kweli ukaacha sikia njaa?
Kama umeomba na hujaota hiyo ndoto, maana yake (kwa mtazamo wangu) ni spiritual warfare hiyo na sio physical need kama kwa case ya wanaume.

Again nimeshuhudia shuhuda za wanaume wengi ambao wana spiritual wives na wanaelezea jinsi gani hili jini mahaba lilivyoathiri hamu na nguvu zake za kiume kwa mkewe. Dreaming about the person you know and love/admire is quite different by having a constant dream about a total stranger (looks like a sprit to me).
 
Kongosho sikuwaza ngono tu pekee yake. Hata kwa wapenzi ambao wanananihii mara kwa mara kama watakuwa mbali kwa kipindi kirefu kidogo basi hizi ndoto zinaweza kumtokea binti pia kama inavyotokea kwa wanaume.





Mimi ninamuota mpenzi wangu, na si total stranger.
 
Last edited by a moderator:
Asante BAK nakubaliana kabisa na wewe, mie kwenye hili la kuota ngono kwa mwanamke pepo silioni.
Chaajabu kwa mwanamme sio pepo, ni KAWAIDA, sio harufu ya mfumo dume huu? Kuwa mwanamke kwa asili hapendi ngono anafanya tu kwa ajili ya mwanamme au kwa ajili ya kuongeza sensa?

Ukiwa starved na kitu chochote utakuwa unakiwaza zaidi
Sababu ngono ni sio anasa kwa mtu mzima, hitaji muhimu kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ninamuota mpenzi wangu, na si total stranger.

Kwanza hujambo wewe? Mie niko poa kabisa...Kingine kumbuka kwamba binadamu hatuna uwezo wa kuchagua ndoto zipi za kuota vinginevyo tungekuwa hatuoti ndoto za kutisha. Hivyo ndoto kama hii inaweza kumtokea mtu bila hata ya kuwaza ngono kwa kipindi kirefu
 
Kongosho sikuwaza ngono tu pekee yake. Hata kwa wapenzi ambao wanananihii mara kwa mara kama watakuwa mbali kwa kipindi kirefu kidogo basi hizi ndoto zinaweza kumtokea binti pia kama inavyotokea kwa wanaume.




BAK sidhani kama iko hivyo, kiuhalisia. Wet dreams zipo kwa wakaka na siku hiz naona tumezihamishia kwa wadada. labda tungejiuliza ni kwanini mkaka anapata wet dreams na vitu gan vinavyo msubject kwenye hili kisha ndipo tugeuke upande wa pili wa mdada je sababu ni kama hiyo? na factors ni hizo hizo?

manake kama ingekuwa ni kitu cha kibiologia basi wakati wa ovulation kila mwanamke angekuwa nazipata hzi wet dreams. na sikatai waweza pata mara moja but kila mara lazima kuwepo na doubts. pia kumbuka kuwa idadi kubwa ya wanawake ndio wanaopata hysteria kuliko wakaka na hii ni kwasababu wao wet dreams zinawapunguzia. anyway siwezi kuconvice am kutetea
 
Last edited by a moderator:
Hawa wanaotoa shuhuda unawaamini kiasi gani?

Dunia hii ya leo ambayo imani imechakachuliwa na pesa kiasi hiki??

Anyway, but nisije kwaza roho changa kiimani.

But seriously, hapa kuna kitu tunajichanganya mie nadhani

Unaamini kwa wanamme huwa wanapata ndoto za aina hii?
Hasa wanapokuwa wanakua?

Na kwanini wanapokuwa wanakua? Usieleze kisayansi sana, elezea tu unavyodhani lol

Unaweza omba usisikie njaa na kweli ukaacha sikia njaa?
Kama umeomba na hujaota hiyo ndoto, maana yake (kwa mtazamo wangu) ni spiritual warfare hiyo na sio physical need kama kwa case ya wanaume.

Again nimeshuhudia shuhuda za wanaume wengi ambao wana spiritual wives na wanaelezea jinsi gani hili jini mahaba lilivyoathiri hamu na nguvu zake za kiume kwa mkewe. Dreaming about the person you know and love/admire is quite different by having a constant dream about a total stranger (looks like a sprit to me).
 
BAK sidhani kama iko hivyo, kiuhalisia. Wet dreams zipo kwa wakaka na siku hiz naona tumezihamishia kwa wadada. labda tungejiuliza ni kwanini mkaka anapata wet dreams na vitu gan vinavyo msubject kwenye hili kisha ndipo tugeuke upande wa pili wa mdada je sababu ni kama hiyo? na factors ni hizo hizo?

manake kama ingekuwa ni kitu cha kibiologia basi wakati wa ovulation kila mwanamke angekuwa nazipata hzi wet dreams. na sikatai waweza pata mara moja but kila mara lazima kuwepo na doubts. pia kumbuka kuwa idadi kubwa ya wanawake ndio wanaopata hysteria kuliko wakaka na hii ni kwasababu wao wet dreams zinawapunguzia. anyway siwezi kuconvice am kutetea

... gfsonwin hizi wet dreams nimezisikia pia kwa wadada na kwa maoni yangu si kitu cha ajabu ambacho kinastahili kuhusishwa na mapepo. Sina maelezo ya kitaalamu ni kwanini wanawake wengine huzipata hizi wet dreams, ni jambo la kawaida sana kwao hasa wanapokuwa mbali na wapenzi wao au hawajaguswa kwa kipindi kirefu na wakati huo huo wengine ndoto hizi haziwatokei.
 
Hapa kuna mawili,
Uko starved sana na ngono au huna mpenzi permanent kwa sasa.

So akili yako haikonsentret kwa mtu mmoja.

So kama unawaota watu 10 meaning you are not starved kwa ngono na you have a permanent lover? Sielewi, l am totally confused!
 
Du god forbid sijawahi kuota hicho kitu some times its a spiritual things nothing to say am afraid.
 
Kama unaota stranger, nalazimika kuamini ama huna mpenzi wa kudumu sababu ni rahisi kuota waliokuzunguka kuliko R. kelly usiyemfahamu. Kitu kingine ni kuwa na mahitaji makubwa ya ngo aidha kwa kutofanya muda mrefu au kuzoea sana kufanya na mpenzi kutokuwepo kwa muda.

Lakini wakati mwingine si lazima iwe ihivyo per se
Sababu hatuna control ya ndoto moja kwa moja
Ila ndot zinakupa hint ya yale yanayokuzunguka au unayowaza
Ndio sababu kuna wengine wanaamini ndoto hadi kuzitafutia tafsiri zake

So kama unawaota watu 10 meaning you are not starved kwa ngono na you have a permanent lover? Sielewi, l am totally confused!
 
So kama unawaota watu 10 meaning you are not starved kwa ngono na you have a permanent lover? Sielewi, l am totally confused!

@Kaunga kuna mambo mengi sana kuhusu binadamu ambayo binadamu hatuyaelewi. Mtu anaweza kuota ndoto ya kutisha sana pamoja na kuwa alikuwa hawazii jambo lolote la kutisha.
 
Naomba kijibu hapa si kwa mtaala wowotw bali kwa uelewa wangu wa kimjini mjini tu.

Wanamme hupata wet wanapoanza kubalehe na huendelea hadi time t but t=/0
kwa mtizamo wangu kwa wanamme watu wazima au mabao wameshaoa wanauwezo wa kufanya ngono kwa hiyo wanapunguza chances za wet dreams.

Kwa akina mama, naamini mwanamke kadiri anavyokua mtu mzima mahitaji yake ya ngono yanaongezeka na wengi muda huu hujikuta wanauwezo kwa kufanya ngono sababu labda wanakuwa wameolewa. Inapotokea mwanamke hajaolewa au yuko single au hapati ngono ya kutosha, nategemea wet dreams zitaongezeka kwa mwanamke mwenye umri mkubwa around 30 - 45 kuliko binti wa niaka 17 -22.

Unavyosema siku hizi wet dreams zimehamia kwa kina mama napata wasi wasi, mie nadhani sasa akina mama wako wawazi kusema kuwa hawafanyi ngono sababu ya wenza wao tu, na wao wanahitaji na wanafurahia ndio maana unasikia akina dada wanasema wazi wamepata hizi ndoto.

Ijaelewa kwa nini unasema akina mama wapate wet dreams wakati wa ovulation, au sababu unamaanisha kuwa kipindi hiki huhitaji zaidi? Kama jibu ni ndio, inawezekana anapata huduma yake so maisha yapo kama kawaida ila kwa amabaye hapati huduma natemegea kipindi hiki wet dreams kuongezeka.

Ikimbukwe no risthechi no lait to spiki

BAK sidhani kama iko hivyo, kiuhalisia. Wet dreams zipo kwa wakaka na siku hiz naona tumezihamishia kwa wadada. labda tungejiuliza ni kwanini mkaka anapata wet dreams na vitu gan vinavyo msubject kwenye hili kisha ndipo tugeuke upande wa pili wa mdada je sababu ni kama hiyo? na factors ni hizo hizo?

manake kama ingekuwa ni kitu cha kibiologia basi wakati wa ovulation kila mwanamke angekuwa nazipata hzi wet dreams. na sikatai waweza pata mara moja but kila mara lazima kuwepo na doubts. pia kumbuka kuwa idadi kubwa ya wanawake ndio wanaopata hysteria kuliko wakaka na hii ni kwasababu wao wet dreams zinawapunguzia. anyway siwezi kuconvice am kutetea
 
Hawa wanaotoa shuhuda unawaamini kiasi gani?

Dunia hii ya leo ambayo imani imechakachuliwa na pesa kiasi hiki??

Anyway, but nisije kwaza roho changa kiimani.

But seriously, hapa kuna kitu tunajichanganya mie nadhani

Unaamini kwa wanamme huwa wanapata ndoto za aina hii?
Hasa wanapokuwa wanakua?

Na kwanini wanapokuwa wanakua? Usieleze kisayansi sana, elezea tu unavyodhani lol

Hawa wanaotoa shuhuda unawaamini kiasi gani?


The same way ninavyoamini Yesu alikuja duniani na kutuokoa, na kwamba alivyoondoka alisema atatuachia msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu. Na pia yeye ni jana na leo na milele.

Dunia hii ya leo ambayo imani imechakachuliwa na pesa kiasi hiki??

Pesa imekuwa shida tangia kipindi cha Yesu, lkn haimaanishi kuwa miujiza au kazi za Roho Mtakatifu hazipo kipindi hiki.

Unaamini kwa wanamme huwa wanapata ndoto za aina hii?
Hasa wanapokuwa wanakua?


Nina amini, wanaume wanapata hizo wet dreams, lakini baadhi yao wana spiritual wives

Na nikijaribu kujibu post ya kwanini wanawake wakiota ni mapepo.

Sijabagua mapepo na jinsia, mapepo yaweza mpata mwanamke au mwanamume (dont put words in my mouth). na sijasema wanawake hawaoti, ninachosema kuna ndoto na kuna mapepo pia ambayo humuingia mtu kimwili kwa njia ya ndoto. Waweza, naweza nisitofautishe kwani inahitaji uwezo wa kiroho zaidi. Kwa akili yangu ya kibinadamu nimejaribu kufikiria how comes mtu amuote total stranger (na huyo mimi nahisi ni pepo) again l may be wrong; lakini kuwa kwangu wrong hakumaanishi spirits hawapo (kama unaamini kuhusu Mungu and the supernatural lakini).
 
@Kaunga kuna mambo mengi sana kuhusu binadamu ambayo binadamu hatuyaelewi. Mtu anaweza kuota ndoto ya kutisha sana pamoja na kuwa alikuwa hawazii jambo lolote la kutisha.

Kuna sehemu nimesoma, kuwa ndoto ni mchanganyiko wa emotions, desires and fears. Na pia ni mavitu uliyoyawahi kuyawaza zamani sana, yakachanganyikana na vitu ulivyowaza few minutes kabla ya kulala. Anyway ni topic ngumu sana, na sio interesting sana.

Total stranger labda ni mtu wa kwenye fantasy yako! LOL na who knows maybe ni devil in disguise.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwanza hujambo wewe? Mie niko poa kabisa...Kingine kumbuka kwamba binadamu hatuna uwezo wa kuchagua ndoto zipi za kuota vinginevyo tungekuwa hatuoti ndoto za kutisha. Hivyo ndoto kama hii inaweza kumtokea mtu bila hata ya kuwaza ngono kwa kipindi kirefu

Niko pouwa, ila nina usingizi kweli!
Naogopa nikilala sasa hivi nitapitiwa na jini mahaba! LOL
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimekupata hapo.

Sijabagua mapepo na jinsia, mapepo yaweza mpata mwanamke au mwanamume (dont put words in my mouth). na sijasema wanawake hawaoti, ninachosema kuna ndoto na kuna mapepo pia ambayo humuingia mtu kimwili kwa njia ya ndoto. Waweza, naweza nisitofautishe kwani inahitaji uwezo wa kiroho zaidi. Kwa akili yangu ya kibinadamu nimejaribu kufikiria how comes mtu amuote total stranger (na huyo mimi nahisi ni pepo) again l may be wrong; lakini kuwa kwangu wrong hakumaanishi spirits hawapo (kama unaamini kuhusu Mungu and the supernatural lakini).
 
Back
Top Bottom