Mwanamke, Kiumbe wa ajabu sana!

Typhoid

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
248
Reaction score
107
Ukiwa na hasira anaweza kukufanya ukatabasamu
Uukiwa tajiri anaweza kukufanya ukawa masikini and viceversa.
Aanaweza kukufanya ukawachukia marafiki, wazazi na ndugu zako wote!
Anaweza kukuua pia kwa tamaa zake za maisha:
Tunawapenda Hawapendeki, jamani wanawake Hawa!

Eti ni viumbe dhaifu, kwa lipi?
Mwenzenu nashukuru sikuzaliwa mwanamke!
Nitarudi baadae kuendelea na list!
 
Mkuu,
Yamekukuta nini??
Pole!
 
Kaaazi kweli kweli!!

Haya muonee huruma mama yako kuzaliwa mwanamke!!!
 

For the same reasons, i'm proud to be born a woman.
We have a uninterested cover (weak) but worthy and powerful content.
So cool.:lol:
 
Hizi thread za kutu diss wanawake zimekuwa ndo new trend sasa eeh!
 
Mwanamke huyo huyo ni binadamu kama wewe. Je wewe na uume wako ni kamili? Nadhani tatizo si kuwa mwanamke au mwanaume bali uwezo wa mtu kuyachambua mambo. Wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu. Wapo shetani wanaume na wanawake kadhalika. Kama yamekukuta usikimbilie kulaumu wote. Waweza kuwa tatizo kuliko hata huyo mwanamke uliyempa ushetani wote. Ni majambazi, wabakaji, mafisadi, wasanii, wauaji na mengine mengi ni wanaume? Basi kama kuna mwanamke shetani duniani si mwingine bali mama yako aliyekuzaa ufanye hitimisho hafifu kama hili.
 

nimeipendaje hii. ni point.
 
Umesahau ulitoka kwenye kiwiliwili cha mwanamke? I mean mama yako? Asinngeuzaa leo ungekuwa na jeuri ya kusema hayoo.
Watu wengine bhana.
 
Mwanamke tangu kuumbwa kwa ulimwengu huu ameonekana ni kiumbe dhaifu, lakini ni viumbe wenye huruma sana. Dunia sasa hivi imebadilika hata wanawake wanaumizwa na wanaume pia wapo wanaofilisiwa na wanaume wao.

Nimuangaliapo mwanamke namuona ni mtu wakumheshimu sana maana huwa najiuliza swali hili hivi kipindi bado niko tumboni mwa mama yangu, halafu alivyopotelea katikati ya msitu akiwa peke yake angekata tamaa je mimi leo ningekuwepo?

Acha niwaheshimu hata kama ni wadhaifu.
 

Tuliza munkari jombaa...
 

Amekuhudumia miezi tisa tumboni kwa taabu na matatizo, Amekuzaa kwa uchungu na kukulea kwa shida. Amekuwa mlinzi ktk mapito yako. Mafanikio yako ni kutokana na baraka zake. Amekuwa mstari wa mbele kukusuport ktk mambo yako. Ame...
 
wanawake wasumbufu hao. ndo maana kuoa hadi tulazimishwe. naangaliaga haka kagirlfriend kanavyo niumiza kichwa hadi nachanganyikiwa. je siku nikioa si ndo itakua balaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…