Mwanamke kimbaumbau

Mwanamke kimbaumbau

Weka na sifa zako wajue usije kuwa we ndo tukunyema unatafuta pa kupunguzia kilo

ukiona hivyo ujue nipo fiti sana , japo mwezi huu nimeongeza km kilo 2 hivi ........... ila ukinichek ndiyo kwanza

utashangaa na urefu wote huu kwanini nina kilo chache namna hii.............
 
Heaven on Earth kumbe wewe kimodel na mazoezi umeanza zamani sema unanibania tu..........

usinifanyie hivyo mtoto wa mwanamke mwenzio nikaendelea kuteseka hapa duniani..........

hahaa mie si nishasema ni bonge nyanya kwenye umodel nilishatoka siku nyingi

kazana na miss chagga naona keshajitoa kwa kila namna kuhakikisha hili dili halimpati
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom