asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
- Thread starter
- #41
haina shida nafanyia kazi lakini sitaki kuwa kanma huyo binti hapo juu hapana
unaweza acha vinyama kidogo zaidi vya kushikwa..........
haina shida nafanyia kazi lakini sitaki kuwa kanma huyo binti hapo juu hapana
Kha! We dada mbona unatuletea majaribu mchana namna hii?
hapo sasa itakuwa ni tatizo kwakweli..........
ila hawa wenye ndembendembe ni presha kila mtu anatolea macho na udenda..........
umetaka nijiseme sasa utaki tena?Kha! We dada mbona unatuletea majaribu mchana namna hii?
unaweza acha vinyama kidogo zaidi vya kushikwa..........
kuna wanaume wengine nao ni balaa , utanasamo kama luba bibie............
mkuu hapo kwa hiyo mashine ukigusa imekula kwako utamlilia daily huyo miss chagga .... source; yeye mwenyewe.
Dah inabidi utafute kigezo kingine cha kuwa na mtu ambacho akiwezi kubadilika....yani angalia internal factor..
nitanasa kama unamahela hivi hivi umnipati kabisa
ha ha ha ha na me sionjeshi?
asakuta same umeshampata au bado!!!!!!!!!!!!!!!
u must realize and appreciate the external factors before u dig for the internal ones..........
hlf hizo za internal siku hizi imekuwa ni kudanganyana kwingi..........
Heaven on Earth bado aiseeh.......... ina maana humu vimbaumbau hamna au watu wananichukulia poa?
unawaogopa wachonga mzinga?
ha ha ha ha haaaaaaaa
amini kweli nakuambia , ninachokuambia ni kweli kabisa.
Mvumilie miss chagga afanye diet yake..
Nakuaminia mwaya...na ninaifanyia kazi hasa wiki 2 tu jamaa anapata PM
Heaven on Earth bado aiseeh.......... ina maana humu vimbaumbau hamna au watu wananichukulia poa?