Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Yani hadi hapo haujui anataka nini?? Basi kuwa mwanaume ni kazi ngumu sana maaamaeeehh
ameathirika, anaishi na virus vya VVU anakuonea huruma. anataka company/urafiki wa kawaida tuMwenzenu kuna demu nimetokea kumpenda saana, lakini demu huyo bado amekuwa mtu wa kunizungusha akili yangu kwa jinsi ninavyomuona demu sio mgumu kivile ila kuna kitu nitakuwa bado sijaelewa kutoka kwake ndio maana mpaka leo na pambana kumpata.
Huyu demu nikiomba mda wa kuongeya naye hakatahi kuongeya na mimi. Na kila nikiongeya naye jibu lake ni kuwa ni mpe mda afikirie.
Ni Kimpa mda afikirie siku nyingine ni kiongeya naye ili kuomba jibu anaomba mda mwingine tena wa kufikiria
Yaani hiyo imekuwa too much kwake.
Hivi ni njia hipi ninaweza kutumia kumpata demu kama huyu wenzangu na mimi.
Maana kwa akili yangu nahisi demu tayari ameshakubali ila kuna kitu anahitaji kuona kutoka kwangu au kuna kitu nahitaji kuelewa kutoka kwake ili kuweka mambo sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia hapaNa ili kuondokana na stress za kutafta nyapu moja kwa muda mref ww kua na madem zako wengi tu akikunyima huyu unaruka kwa huyu mambo yanaenda wanawake wapo wengi na wanavitu wanapenda toka kwetu kama huna basi hata pesa uwe nayo ili uweze kumtafuna na kusepa kuliko kusumbuka kila siku.
Imagine upo kwenye deport ya azam alafu unaulizia kuna mo energy![]()
May beameathirika, anaishi na virus vya VVU anakuonea huruma. anataka company/urafiki wa kawaida tu
