Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,662
- 9,974
wamtaka kwa ajili tu ya matumizi ya kupita ama wamhitaji kuwa mama watoto wako na mke wako mpendwa.
mara nyingi sana huchukua mda kukuafiki kwa sababu hana uhakika na security yake awapo kwako
Tulia zako we tafuta hela usimtafte tenaa...... siku vikimwamkaa atakwambia ya moyoni
mara nyingi sana huchukua mda kukuafiki kwa sababu hana uhakika na security yake awapo kwako
Tulia zako we tafuta hela usimtafte tenaa...... siku vikimwamkaa atakwambia ya moyoni