Mwanamke Kaidi.

Mwanamke Kaidi.

Sasa usiposema kuwa umejasirika mimi nitajuaje? Nachukia sana watu wanaojinunisha wakikosewa badala ya kusema. Halafu kuna dhambi gani mwanamke akiamini kuwa anaweza kusimama mwenyewe?
Wengine hawapendi waambiwe wakikosea na ukifanya hvyo umempa sababu ya kukwambia kuwa unamgombeza/unamkaripia
 
Kwa mtazamo wangu mwanamke hadi kufikia kukujibu shit au kukukera bila kuwaza ujue habari yako imeisha.

Umemchekea sana na kashakuona dhaifu juu yake. Dawa ni aidha kumtia mbata kama recovery plan hasa kwa mtu ambaye hutaki au ngumu kumuacha au ku exit uhusiano aende zake akafie mbele huko.
Unajua nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwanini mama zetu walikuwa wanachapwa makofi na wazee wetu na cha ajabu waliweza kuishi nao mpaka wanazeeka bila ya hata kuachana na baada ya hapo unakuta mapenzi yananoga kweli,sikuwahi kumsikia eti anataka kuondoka wala nini,CHAPA KOFI huyo...
 
Mwanamke kaidi havumiliki kabisa na mwanaume anayeweza mvumilia mwanamke kaidi basi huyo mwanaume atakuwa fake
 
Mwanaume hutakiwi kuwa mtu wa kuficha hasira, akikukosea mwambie ukweli hapo hapo hata kama hapendi, akiwa si mtu wa kuomba msamaha mpe makavu hadi ajione kama gari la taka ukitoka hapo fresh. Ila kama mwanaume unaishi na mwanamke wa namna hiyo basi ujue kuwa wewe mwenyewe ndio chanzo, kakutest kakuona boya tu ndio maana anakufanyia huo uozo. Mwanaume unatakiwa usimamie nafasi yako ili heshima iwepo
 
Sasa usiposema kuwa umejasirika mimi nitajuaje? Nachukia sana watu wanaojinunisha wakikosewa badala ya kusema. Halafu kuna dhambi gani mwanamke akiamini kuwa anaweza kusimama mwenyewe?

Huenda wewe ni mwanamke, au kama ni mwanaume basi hujaoa, au kama ni mwanamme una mke mnyenyekeu na mwenye busara. Aliyeleta hoja ana maana kamili, tulio watu wazima na miungo kadhaa tupo kwenye ndoa tunamuelewa. Kama wewe ni mwanamme siku mkeo akikwambia "Usinibabaishe"... itakuchukua muda akili yako kukurudia

Mshukuru Mungu kama hayo hayajakupata au hujayafanya (kama wewe ni jinsia ya kike)
 
Unajua nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwanini mama zetu walikuwa wanachapwa makofi na wazee wetu na cha ajabu waliweza kuishi nao mpaka wanazeeka bila ya hata kuachana na baada ya hapo unakuta mapenzi yananoga kweli,sikuwahi kumsikia eti anataka kuondoka wala nini,CHAPA KOFI huyo...
Hahahah mwanamke usimnyime kofi, yani hapo atakupenda sana zaidi ya sana. Humu wanajitetea tu na kupiga beat kwamba eti hawataki mwanaume mbabe ila wakipata wapole wanawendesha kama gari mbovu 🤣🤣🤣
 
Hahahah mwanamke usimnyime kofi, yani hapo atakupenda sana zaidi ya sana. Humu wanajitetea tu na kupiga beat kwamba eti hawataki mwanaume mbabe ila wakipata wapole wanawendesha kama gari mbovu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gari bovu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dats Ma Mane!!! Good job [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapana bebe, kwanza siwezi kumuudhi mtu yeyote kwa makusudi. Pia kuna makosa unaweza ukafanya kwa kutokujua kuwa umemkosea mtu, vilivile kuna ile umekosea unajua mtu amechukulia poa amesamehe juu kwa juu kumbe jitu limenununa hehehe jinunishe mpaka upasuke dadeki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Mtoto alelewavyo ndivyo akuavyo... huna hana adabu toka kwa wazazi wake...

Chunguza wazazi wake utagundua nao wanatabia kama zake...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom