Mwanamke huyu ana matatizo gani?

Mwanamke huyu ana matatizo gani?

.Huenda akawa amekeketwa,pia kama alikwambia hajazaa haliyakuwa ameshazaa basi atakuwa na wasiwasi utamgundua haswa maeneo ya tumbo na matiti.yalishanikuta kama hayo
 
Huyo huwa anajaladia. matako yake huwa ya bandia kabla hajavua nguo. huwa anavaa vibukta ndani.
 
uyo demu hakupendi kaka,ivyo tu SHE DONT LOVE YOU
 
Atakuwa ameathiriwa na mapenzi ya vichakani maana kule style huwa ni kupandisha juu unamaliza
 
Ushirikiano anatoa ila hataki nimshike wala nimchezee sehemu flan
Nikichomeka kidole kwa mfano anamaind
 
Sikupenda nije nitoe siri zake hapa ndani lakini sina jinsi nimechoka. Nina mpenzi wangu tuna mwaka mmoja nae tatizo ni kuwa tukifanya mapenzi hataki kuvua nguo zote na wala hataki niuone uchi wake.

Na pia hapendi nimfanyie ma#romance wala nimchezee sana, nilimwambia akasema kuwa yeye ana aibu siku moja nilimvulia nguo zote ikawa ugomvi mkubwa,

Hivi wanajamvi ni kweli aibu au kuna tatizo gani kumbuka tuna zaidi ya mwaka mmoja katia mahusiano.

Lakini mkifanya si una enjoy??
basi acha ndivyo inavyokuwaga asa binti kama wew ndo mwanaume wake wa kwanza...
 
Back
Top Bottom