Mwanamke huyu ana matatizo gani?

Mwanamke huyu ana matatizo gani?

Ana umri gani? Amekeketwa? Usije ukawa unashughulika na mtoto au mtu aliekeketwa. Aibu inaletwa na wasiwasi kuwa kuna kitu hakiko sawa, muulize taratibu atakueleza kwa sababu ni vigumu kuzijua kutokana na kuwa ni nyingi.
Akikupa black and white usimuache kwani umeutaka ukweli wewe mwenyewe usije ukamuona kama hafai.
 
Halafu namie huyo demu namjua anakovu baya sana na ukimwangalia anahofia hauto mpenda tena na ndo maana na mie nilimwacha
 
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa c wote watayapenda mambo ambayo wewe umejifunza kwa watu au kupitia video za x, lakini pamoja na yote me naamini wakat mwingine na utoto pia unachangia kwasababu mapenzi ni starehe na lazima watu mtomboane mkiwa uchi wa mnyama sasa kama hutaki kuvuliwa nguo, kuchunguliwa au kuchezewa ndo' mapenzi gani sasa?

nijibu kwanza ayo (pekundu) unafanya kwa manufaa ya nani? au ili iweje?
 
huyo ukimchunguza vizuri kwa nyuma pale uti wa mgongo unapoishia kuna kimkia kimechipua,, ndo maana hata katu katu,,, ukijua utamkimbia
 
Mkuu ukimchunguza bata humlii, wewe peleka bomba tuu Khaaa!!.
 
Hujaelewa jinsia ya mtoa mada una akili wewe?
Anyway mtoa mada mwanaume ana umri wa23 dame ana umr wa 18
 
Hujaelewa jinsia ya mtoa mada una akili wewe?
Anyway mtoa mada mwanaume ana umri wa23 dame ana umr wa 18

Labda ungesema kama ana ma.ti.ti na sura ni ya kike ungeeleweka bila kuachia waluokujibu kuandika mengine na kutogesi majibu.

Pole
 
Nafanya kwa manufaa yetu wote wawili. Ikiwa mpenzi wako hapendi kuchunguliwa au kuchezewa basi hana tofauti yeyote na kuku au bata.

sasa mwenzio hapendi na aoni manufaa yake
ndo ujue wanawake tuko tofauti sio yote unayosoma umu au kuangalia kweny pono uje kunifanyia
kifupi nisopenda usinilazimishe
 
Sema nini wakuu...ni mpenz wangu sio malaya anayejiuza so ni muhimu ye kuwa mwaz ikiwemo kufanya nachojiskia
 
Sasa utamvuaje nguo zote wakati mapenzi yenyewe mwafanyia uchochoroni? Sio wanafunzi nyie kweli?
 
Back
Top Bottom