Mwanamke huyu alikosea nini tena?

Mwanamke huyu alikosea nini tena?

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
330
Reaction score
1,244
Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

1000103344.jpg
Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam​
 
Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

View attachment 3393289Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam
kwani hakuzaa? watoto ni alama pia
 
Log In
Go to Reddit Answers

Expand search

Expand user menu
r/MarilynMonroe icon
Go to MarilynMonroe
r/MarilynMonroe
2 mo. ago
elisabethlizi
Join

Marilyn’s iq
r/MarilynMonroe - Marilyn’s iq
There are rumors on various platforms claiming that Marilyn Monroe had a higher IQ than Albert Einstein it’s said her IQ was 168, according to Google. However, this claim is false. Marilyn’s IQ was never officially tested during her lifetime.

That said, she was undoubtedly intelligent. She had a personal library of over 400 books, covering a wide range of genres including literature, art, drama, biography, poetry, politics, history, theology, philosophy, and psychology. In 1999, many of the books from her collection were auctioned off.
 
Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

View attachment 3393289Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam
Tuoneshe full picture. Sura tumeikubali, bado upande wa chini🤣🤣🤣
 
HUYU HAKUNA MCHEZA VIDEO ZA HOVYO KWELI?Au NI MONROE MWINGINE YULE🤔🤔
Hapana ila ni beauty icon. Na alikuwa analiwa na watu mashuhuri tu. Hata rais J. F. Kennedy alipita naye....
 
Back
Top Bottom