Mwanamke hebu funguka uko upande upi...?

Mwanamke hebu funguka uko upande upi...?

nakubaliana na wewe kuwa maisha ya ndoa ni kama bahari labda niseme, maji kupwa maji kujaa, mawimbi na wakati mwingine shwari... Sawa?
Lakini hebu tuseme ndoa imekushinda, yaani ni kwamba bahari imechafuka kiasi cha kuleta gharika, imeacha majeraha makubwa moyoni na hata mwilini na pia imeharibu mazingira yenyewe ya ndoa kiasi kwamba kurekebisha hali hiyo ni ngumu kumeza.
Hapo nakubaliana na wewe juu ya kauli yako hii:

"itakapotokea ndoa imekushinda give up.mimi nasema kuwa sintaupa moyo wangu hata sekunde kusikitika juu ya maamuzi ntakayofanya .nilizaliwa mwenyewe,ntazikwa mwenyewe,iam incharge of my own life ,nikifa ndoa imeishia hapo so ya nini kuitesekea..."

lakini je dini zinasemaje kukusu kuachana?
Je jamii inamchukuliaje mwanamke anayeitelekeza ndoa yake na kujitoa?
Je ndugu na marafiki wana mtazamo gani kuhusu jambo hilo?
Je mwanamke yuko tajari kukabiliana na hali hiyo? Yaani mashinikizo kutoka katika dini, jamii na labda ndugu na marafiki....

Hebu nipe uzoefu wako dada yangu kabla ya kikao chetu cha kahawa leo kujadili business proposal.... Lol
Mtambuzi nielewe hivi im incharge of my own life sio dini ,sio mchungaji ,sio shekhe ,sio jamii .mimi binafsi niko incharge ,nikipigwa ndani nakuumizwa na mume wa ndoa ,ninae umia ni mimi wao watanipa pole ,hakuna atakayeweza kuniambia ondoka never ever sasa basi mimi huwa sijali kabisa eti dini itanionaje ???nimefunga ndoa kanisani lakini siamini kama ni kitu kinaweza tie freedom ya maisha na amani ya moyo wangu ,n\ikinishinda naacha Mtambuzi.eti nina watoto ndio nife,jamii itanionaje ndio niteseke hizo jamii,dini,wazazi nk nimewajua nikiwa na akili timamu na nimewajua ukubwani mimi hawanipi shida .nasimamia kile ninachokiamini mpaka nife nikicheka sio roho kukakamaa.
 
Last edited by a moderator:
Mshua, binafsi toka unikabidhi kwa Paw sijawahi kujuta. Ofcoz kuna wakati najiuliza what is this shitty lakini mwisho wa siku it is worth it. At least kuna mtu ambae naweza kumshushia stress zangu anytime i want hehehe. Kutofautiana nako kuna raha yake. Sana tu namuonea yeye huruma manake kuwa na mke mjeda sio mchezo. Hata ukienda kwenye small hausi unaisihi 'chonde dada, wife akijua sijui atatufanyaje manake akituua atakuwa katufadhili. Naomba ubehave na unisaidie kubehave'.
Pole yako Paw wangu na mie ndo sina hata mpango wa kukuacha. Lol

cc Kongosho
 
Last edited by a moderator:
Sina jibu la moja kwa moja ila mabadiliko katika nyanja mbalimbali za maisha unachangia sana watu kukosa uvumilivu hasa linapokuja swala la usaliti as long as love is concerned na magonjwa ni mengi ila ya makusudi kwakweli hapana,pia mioyo mingi ya watu ishajeruhiwa vya kutosha
,hata mie ikifikia hapo sitaweza kuvumilia..so far sijawaza bado kuingia humo ila wakati ukifika itabidi nichukue maamuzi magumu sana.
Yeah Chocs wanasema ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia ucheze...
Unajua sio kwamba mimi sijui kuwa maisha ya ndoa ni kupanda na kushuka, najua sana, ninachojaribu kuchimba hapa ni kutaka kujua ni kwa nini siku hizi kauli za wanawake wanaojuta kuingia katika ndoa zimekuwa nyingi na wanaotamani kuingia wamekuwa wengi?
Au kwa sababu zamani matatizo ya ndoa mara nyingi yalikuwa yanafichwa lakini siku hizi huwekwa bayana?
Je ni mabadiliko ya kiuchumi na utamaduni ndio chanzo cha mtanziko huo au ni kitu gani hasa...?

Da AshaDii, snowite, @FP, King'asti BADILI TABIA popote mlipo naombeni uzoefu wako katika jambo hili....
 
Mtambuzi kama yalivo maisha mengine yoyote nje ya ndoa kuna milima na mabonde kwa mie sitamani kutoka.
Chauro najua hutamani kutoka, lakini naomba tukubaliane kwamba wakati mwingine matatizo ya ndoa yanaweza kukufikisha mahali ujute kuingia katika ndoa.... Si lazima usimame kwenye paa la nyumba upayuke au uende kwa shoga au jirani kulalamika, lakini moyo unauma ndani kwa ndani mpaka unafikia kuwaza hivyo.... Hili linaweza kumtokea mtu yeyote si mwanaume na si mwanamke...

Swala hapa, najaribu kutafuta chimbuko la kuongezeka kwa kauli hizi hasa kwa wanawake ukilinganisha na wanaume. Je kunani kwenye ndoa siku hizi....

Au ngoja niulize swali jingine. Je ni matatizo gani hasa ya ndoa yanayowafanya wanawake wengi wajute kuingia katika ndoa na kutamani kutoka....?
 
Natamani sana siku moja nioe, nami niitwe mume nami niite mke, sina matarajio makubwa kwenye ndoa yangu.......just anifulie nguo zangu, anipikie chakula, afanye usafi nyumbani, anipe pale kati, niishi kwa peace.....bhaaaaaaaaaaassssssss sihitaji kingine zaidi!!!!!

Nawe unatarajia kumpa nini?
 
your advice is exclusive of christian women. Si ndo wameambiwa wang'ang'anie humo hata iweje (unless ni uzinzi).
I think ukiingiza mungu on this, nothing will be solved. Tena dini zinavyoshikilia mfume dume. Mke akileta ubishi, all scriptures on her!

#source : My parents experience
mimi sing'anga'nii ndoa kabis aile sio ajira yangu ,hizo ni mapito ya maisha tu so japo ni christian ila aisee ndoa ni kitu kidogo sana katika file la maisha yangu leo hii huyo nlie ndoani nae akisema basi walaaaaaa si argue namwambia weka mahesabu mezani nakunguta vumbi nasonga mbele.there is much time to start afreash even its 80yrs .kutoitake ndoa yangu serious nakufanya yale nahisi ni muhimu katika ndoa kama kumtunza mume,familia na yote yaliyotujumuisha niko makini na sijawahi juta katika maisha yangu toka nimeolewa lakini jua kwamba niko tayari kuiacha kama itaniondolea tone la amani ya moyo wangu.kama halifutiki
 
Maisha ni kupanda na kushuka kama ilivyo kwa ndoa kuna raha na machungu yake ndo mana wengine wanatamani kuingia na wengine kutoka pamoja na hayo MUNGU amewapa uvumilivu na ndo mana wengine wapo mpaka leo..........kuhusu ndani ya ndoa siwezi kusemea saana coz mengi siyafahamu..
heri yako umesema ukweli.ndani ya ndoa siku huwa hazifanani.ukiamua kuingia humu jiandae kwa yote.Ila ni pazuri zaidi kuliko huko nje mliko.Sijawahi kujutia uamuzi wangu wa kuoa, pamoja na milima na mabonde yaliyopo.
Kwa mimi, ninayaona kama maisha yenye amani kuliko maisha ya -u-boyfriend na u-girlfriend.
 
Watu wengi wananioa mimi ni ANTI MARRIAGE! But seriously i am not! Its just that Times like these ndoa nyingi zimepoteza maana na kubaki ushahidi!

1. NDOA IS JUST THE BEGINNING!!!!!!!!!! Ingekuwa ndo the end basi ukiolewa game over mbona hata mimi ningekimbilia! Ila ndo mwanzo wa safari usiojua inakoelekea.

2. MARRIAGE IS A GAMBLE!!!!!!! Uchumba huwa fix nyingi, pretending na timing za kutosha ili umpate mtu akuoe au umuoe. Bt in marriage Trela limeisha picha ndo linaanza! Its like GAMBLING YOUR FUTURE! Sasa kwa sie wa Kristu kimbembe ukikosea move imekula kwako! ONE MISTAKE ONE GOAL!

3. Room for oportunity n change! When you are single there is always a room of opportunity ya kumpata mtu mpya wa maana zaidi ya yule wa zamani. Bt with marriage ndo unafunga mahesabu na kufanya conclusion.

4. Hope is Lost. Wansema the last thing any person to loose its HOPE! Ukiwa single there is always hope kuwa mambo yatakaa poa. Bt if ya marriage is not working YOU ARE DOOMED! DONE! FINISHED!

5. Dignity! If ya single u can fu.ck the whole world and procee to Jupiter till Pluto and retained your dignity 100%. Bt if ya married jst fu.ck 1 man apart from ya husband and ya dignity is soo over! Mumeo hatosahau na kuona it was jst 1 fu.ck for fuc.k's sake, wala jamii haitosamehe milele daima! Plus ukiolewa ukaachika your dinity is way over!!!!!!!!! Hutorudi kwenye status ya single lady, kibongo bongo. Unageuka gumegume lililomshinda mtume, jopo in truth kuna single ladies much much worse than you! Sema ndo hivo tena mambo ya jamii!!!!!!!!

SO I AINT SAYIN DONT MARRY OR SOMETHIN BUT JUST BE SURE WHO YOU ARE MARRYING!!!!!!!!! For me i aint cashing my chips anytime soon in the near foreseeable future. Jst taking my time to study the game and prepare for a MASTER MOVE!
 
Mtambuzi nielewe hivi im incharge of my own life sio dini ,sio mchungaji ,sio shekhe ,sio jamii .mimi binafsi niko incharge ,nikipigwa ndani nakuumizwa na mume wa ndoa ,ninae umia ni mimi wao watanipa pole ,hakuna atakayeweza kuniambia ondoka never ever sasa basi mimi huwa sijali kabisa eti dini itanionaje ???nimefunga ndoa kanisani lakini siamini kama ni kitu kinaweza tie freedom ya maisha na amani ya moyo wangu ,n\ikinishinda naacha Mtambuzi.eti nina watoto ndio nife,jamii itanionaje ndio niteseke hizo jamii,dini,wazazi nk nimewajua nikiwa na akili timamu na nimewajua ukubwani mimi hawanipi shida .nasimamia kile ninachokiamini mpaka nife nikicheka sio roho kukakamaa.

Nimekuelewa Nivea na ninaheshimu msimamao wako...
Ninataka kuwasaidia walioko nje wanaotamani kuingia na walioko ndani wanaotamani kutoka, ni kweli kila mtu anawajibika kwa maisha yake mwenyewe, lakini Je ni wanawake wangapi wanye msimamo kama wako....?

Nashukuru mwanangu King'asti yuko ngangari kwani sijawahi letewa mashitaka...
Huyu mwanangu mwingine Asnam bado sijakula mahari yangu lakini sina wasiwasi naye najua atachukua tabia za dada yake ila mh kana msimamao kabinti haka mpaka nakaogopa....LOL
 
Last edited by a moderator:
yaani wewe haya unaita matarajio madogo?
1. Kufuliwa
2. Kupikiwa
3. Kufanyiwa usafi
4. Kupewa pale kati!

Yaani kama ni job description basi appraisal yake lazma iwe kubwa mnooo! Na appraisal iwe mara mbili kwa mwaka. Muulize Teamo akuambie kwi kwi kwi

Km mwanamke mwenye akili timamu ...... haya ni matarajio madogo sana, tena sana ........ husema mwanamke hujenga boma mwanamume hujenga nyumba ...... sasa kwa haya ya msingi tu kweli km atashindwa??????
 
Natamani sana siku moja nioe, nami niitwe mume nami niite mke, sina matarajio makubwa kwenye ndoa yangu.......just anifulie nguo zangu, anipikie chakula, afanye usafi nyumbani, anipe pale kati, niishi kwa peace.....bhaaaaaaaaaaassssssss sihitaji kingine zaidi!!!!!
Na yeye angependa hivi: msaidiane kufua, mkapike pamoja, mpeane kati na muishi kwa amani.Mnaweza mkafurahia sana maisha ya aina hii, but wapita njia wakafikiri umepewa LIMBWATA.
 
Watu wengi wananioa mimi ni ANTI MARRIAGE! But seriously i am not! Its just that Times like these ndoa nyingi zimepoteza maana na kubaki ushahidi!

1. NDOA IS JUST THE BEGINNING!!!!!!!!!! Ingekuwa ndo the end basi ukiolewa game over mbona hata mimi ningekimbilia! Ila ndo mwanzo wa safari usiojua inakoelekea.

2. MARRIAGE IS A GAMBLE!!!!!!! Uchumba huwa fix nyingi, pretending na timing za kutosha ili umpate mtu akuoe au umuoe. Bt in marriage Trela limeisha picha ndo linaanza! Its like GAMBLING YOUR FUTURE! Sasa kwa sie wa Kristu kimbembe ukikosea move imekula kwako! ONE MISTAKE ONE GOAL!

3. Room for oportunity n change! When you are single there is always a room of opportunity ya kumpata mtu mpya wa maana zaidi ya yule wa zamani. Bt with marriage ndo unafunga mahesabu na kufanya conclusion.

4. Hope is Lost. Wansema the last thing any person to loose its HOPE! Ukiwa single there is always hope kuwa mambo yatakaa poa. Bt if ya marriage is not working YOU ARE DOOMED! DONE! FINISHED!

5. Dignity! If ya single u can fu.ck the world and retained your dignity 100%. Bt if ya marrie jst fu.ck 1 man apart from ya husband and ya dignity is soo over! Mumeo hatosahau na kuona it was jst 1 fu.ck for fuc.ks sake, wala jamii haitosamehe milele daima! Plus ukiolewa ukaachika your dinity is way over!!!!!!!!! Hutorudi kwenye status ya single lady, kibongo bongo. Unageuka gumegume lililomshinda mtume, jopo in truth kuna single ladies much much worse than you! Sema ndo hivo tena mambo ya jamii!!!!!!!!

SO I AINT SAYIN DONT MARRY OR SOMETHIN BUT JUST BE SURE WHO YOU ARE MARRYING!!!!!!!!!

Ahsante lara 1 kwa kudadavua vizuri.
Umesema "Uchumba huwa fix nyingi, pretending na timing za kutosha ili umpate mtu akuoe au umuoe."
Lakini mimi kuna jambo moja huwa najiuliza kila siku, Je inachukua muda gani kwa mwanaume au mwanamke kung'amua kwamba huu uchumba una fix nyingi kabla a kufanya maamuzi?
Kwa nini nauliza hivyo ni kwa sababu unaweza kukuta watu wame date for almost one year or two years ndipo wakaoana. Lakini still unaweza kukuta ndoa yao inakumbwa na vurugu za mara kwa mara, Je hawakusomana vizuri? au matatizo ya ndoa honekana baada ya kufunga mkataba?
 
Last edited by a moderator:
Good for you two na Mungu awatangulie..maisha ya u'bf & gf ni kutiana presha tuu na uongo uongo mwiingi.. Mim siamini kabisa katika hayo mahusiano ya kitoto toto..
heri yako umesema ukweli.ndani ya ndoa siku huwa hazifanani.ukiamua kuingia humu jiandae kwa yote.Ila ni pazuri zaidi kuliko huko nje mliko.Sijawahi kujutia uamuzi wangu wa kuoa, pamoja na milima na mabonde yaliyopo.
Kwa mimi, ninayaona kama maisha yenye amani kuliko maisha ya -u-boyfriend na u-girlfriend.
 
Mtambuzi nimeeleza sababu zinazotuingiza kwenye ndoa nazo zinaweza kuwa chanzo cha majuto,kwenye maisha kila mtu ana matarajio na mitizamo tofauti na tunapokuwa kwenye ndoa hakubadilishi uhalisia wetu kuna mambo mengi tu ambayo hufungiwa macho kipindi cha uchumba tamaa,uchoyo kiburi/jeuri uzinzi ulevi na mengineyo) tukiamini tunaweza kuwabadilisha baada ya ndoa.

Kijana wa leo anataka kuolewa na mtu aliyekamilika kila idara wanasema mjini pesa ndio mpango mzima anapofika ndani na kukuta uhalisia wenyewe lazima majuto yakuandame kama si kukimbia maana ndipo unaposikia zile kauli za nakupa kila kitu una shida gani ukiuliza kosa........

QUOTE=Mtambuzi;6228731]Chauro najua hutamani kutoka, lakini naomba tukubaliane kwamba wakati mwingine matatizo ya ndoa yanaweza kukufikisha mahali ujute kuingia katika ndoa.... Si lazima usimame kwenye paa la nyumba upayuke au uende kwa shoga au jirani kulalamika, lakini moyo unauma ndani kwa ndani mpaka unafikia kuwaza hivyo.... Hili linaweza kumtokea mtu yeyote si mwanaume na si mwanamke...

Swala najaribu kuafuta chimbuko la kuongezeka kwa kauli hizi kwa hasa wanawake ukilinganisha na wanaume. Je kunani kwenye ndoa siku hizi....

Au ngoja niulize swali jingine. Je ni matatizo gani hasa ya ndoa yanayowafanya wanawake wengi wajute kuingia katika ndoa na kutamani kutoka....?[/QUOTE]
 
sijawahi kujuta kuingia kwenye hii kitu i see!
LEO,JANA HATA MILELE!
 
nimekuelewa nivea na ninaheshimu msimamao wako...
Ninataka kuwasaidia walioko nje wanaotamani kuingia na walioko ndani wanaotamani kutoka, ni kweli kila mtu anawajibika kwa maisha yake mwenyewe, lakini je ni wanawake wangapi wanye msimamo kama wako....?

Nashukuru mwanangu king'asti yuko ngangari kwani sijawahi letewa mashitaka...
Huyu mwanangu mwingine asnam bado sijakula mahari yangu lakini sina wasiwasi naye najua atachukua tabia za dada yake ila mh kana msimamao kabinti haka mpaka nakaogopa....lol
nina uhakika Mtambuzi wengi wa wanawake ni wajinga sana hasa ukifika suala la ndoa wanakuwa kama mbwa aliyemwona chatu sijui ni hofu ya aibu?hofu ya umaskini? Aibu kwa jamii?? Nawiwa kusema hivi'' kila mtu ana kitu kinachomuingiza kwenye ndoa aliyonayo''!!na hicho ndicho kitampa ugumu au urahisi wa maisha ie.utajiri,mapenzi ya kweli,tamaa,kulazimishwa ,etc
 
Back
Top Bottom