Ukitaka Ubaya...
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 498
- 140
Jambo hili limekuwa likinitatiza sana.
Walio ndani wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia. Je hii taasisi ya ndoa mbona imekuwa kizungumkuti hivi?
Mh! mkuu nitarudi baadae kidogo.
Jambo hili limekuwa likinitatiza sana.
Walio ndani wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia. Je hii taasisi ya ndoa mbona imekuwa kizungumkuti hivi?
Ndoa ni institution nzuri Kama unampenda mwenzako na ukiwa na low expectation .Ukiingia kwa high expectation Za Mumeo stress .Be happy ,smile ,life is too short .Usiogope![]()
Mara nyingi nimekuwa nikikutana na wanawake walio katika ndoa ambao hujuta sana na kusema kwamba wanajuta kuolewa na laiti wangejua kwamba maisha ya ndoa yako namna hiyo, katu wasingeolewa na wakati mwingine hukumbuka maisha yao kabla ya kuolewa jinsi yalivyokuwa mazuri na ya amani kuliko ilivyo sasa baada ya kuolewa
![]()
Lakini pia nimekuwa nikikutana na wadada walio single ambao wanayatamani sana maisha ya ndoa. Umri umekwenda na wamekata tamaa na wanatamani hata ajitokeze mwanaume yeyote yule amtamkie kumuoa ili mradi tu na yeye aingie katika orodha ya wanandoa.
![]()
Jambo hili limekuwa likinitatiza sana.
Walio ndani wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia. Je hii taasisi ya ndoa mbona imekuwa kizungumkuti hivi?
Naomba wanawake mnipe uzoefu wenu katika jambo hili....
Si kweli, kuwa wanataka ndoa ni average women. Wapo wengi successful and excellent wish to enjoy marriage. What i know, once in life a woman dream marriage, once the dream disappear the cause is life experience.Haha thats true gal watazame wanawake wengi walioko kwenye ndoa ama wanaolilia hizo ndoa most of them wako average in many things
Ameen and Ameen! Walahi ndoa ina raha yake ati! Kero zipo hata kwa ma BF na Mahawara - chako ni chako.comIngawaje huwa nakwazwa lakini sio kiasi cha kutaka kutoka looh ndoa ina raha yake bwana, najaribu kuwaza ningekuwa sijaolewa ingekuwaje, labda ningezaa na mume wa mtu ...halafu inakuwaje ukikaa nae anakwambia ngoja niwahi kwa wife, halafu nanuna au? Aaa hapana imekaa vibaya kwangu. Sitamani kutoka jamani.....na mnaotaka kuja njooni tu..
Mkuu theChance,Natamani sana siku moja nioe, nami niitwe mume nami niite mke, sina matarajio makubwa kwenye ndoa yangu.......just anifulie nguo zangu, anipikie chakula, afanye usafi nyumbani, anipe pale kati, niishi kwa peace.....bhaaaaaaaaaaassssssss sihitaji kingine zaidi!!!!!
Mkuu theChance,
Kwa hayo mahitaji yako mkuu itakuwa unatafuta Housemaid na sio Mke. Usiingie gharama ya Ndoa mkuu, tafuta tu Maid tena wale wa kuja na kuondoka jioni ili kupunguza gharama zaidi. Nina uhakika anaweza kukupa pale kati na ukaishi kwa Amani kabisaa. Bhaaaaaaaaassssssssss.
Mkuu kama unaweka katika mizania wanawake ndio hujuta zaidi katika jambo hilo...
Kwa kawaida wanaume walio wengi shabaha yao dhaifu kunapotokea ndoa kukumbwa na vurugu za mara kwa mara ni Ulevi kupindukia, nyumba ndogo au makahaba, tofauti na wanawake ambao huchukua muda sana kufika hapo.
Leo hii mwanaume kuikimbia nyumba yake na kutelekeza familia ya mke na watoto sio jambo la kushangaza wakati zamani enzi zetu lilikuwa ni jambo la kufedhehesha na kubezwa mtaani na hata ukoo wenu ungepewa hiyo kasoro inapotokea mwanaukoo kuposa mahali fulani.
Siku hizi hilo halipo na wengi huchukulia powa tu. Zipo nyumba nyingi siku hizi hazina baba. Unakuta mama amebaki na watoto akihangaika peke yake kulea familia. Si kwa sababu baba amefariki, bali ni kwa sababu baba kaikimbia nyumba na kutelekeza familia.
Teamo, Je hili unalizungumziaje?
Mshua, binafsi toka unikabidhi kwa Paw sijawahi kujuta. Ofcoz kuna wakati najiuliza what is this shitty lakini mwisho wa siku it is worth it. At least kuna mtu ambae naweza kumshushia stress zangu anytime i want hehehe. Kutofautiana nako kuna raha yake. Sana tu namuonea yeye huruma manake kuwa na mke mjeda sio mchezo. Hata ukienda kwenye small hausi unaisihi 'chonde dada, wife akijua sijui atatufanyaje manake akituua atakuwa katufadhili. Naomba ubehave na unisaidie kubehave'.
Pole yako Paw wangu na mie ndo sina hata mpango wa kukuacha. Lol
cc Kongosho
Ukitaka tamu ya ndoa tuulizeni WATANGA....
Huku waume twakoshwa na vifuu
Twasuguliwa na machicha ya nazi
Twakandwa na mafuta ya nazi
Halafu twakoshwa na maji ya hiriki
Hiyo ni kabla ya korodani kuoshwa kwenye kisosa
Kabla ya kubebwa kurudishwa chumbani