kwakweli ndugu zangu msiba usikie kwa jirani......maji yakatike kwa mwenzio yakikatika kwako lawama....kulala njaa alale irani na sio wewe unweza ona mwisho wa maisha,
kimsingi hili tatizo linawakumba watu wengi sana Tanzania..na record zinatisha yaani katika wanandoa 10 basi 4 wanatatizo la kupata mtoto,lakini kimsingi tatizo nini.. hayo ni mambo ya kisayansi na sababu zake.. mabadiliko ya tabia ya nchi,tutawahukumu sana wanawake tukisema kwamba wanashindwa kwa kutoa mimba.....hii sio kweli kwani sio wote,ni 1 katika 10,hivi haya matatizo ya fibroids mnayaonaje?they can mess you up watu wana surgery hadi nne,mwisho hawapati watoto
Uchungu wa kukosa mtoto ni karibu sawa na uchungu wa kumzaa mwenyewe unless mtu awe hana mapenzi au hatamani kupata mtoto,
Ndoa ni ya watu wawili hivyo inategemea ni namna gani mume unamsupport mke au mke una msupport mume katika swala zima la uzazi,au uchaguzi wenu ni upi.La msingi ni kuielimisha jamiii kuhusu maswala ya uzazi,swala la kuzaa watu wanashangilia kesho wakienda shule kila mtu anakukimbia halifai.
Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamerahisisha maswala ya uzazi
mfano Kuna IVF ambayo wanachukua mbegu za mwanaume na mwanamke then zinakuwa fertilised then zinapandikizwa kkwa mwanamke though ni very sensitive as ukimess failure rate ni kubwa
kuna inseminatio ambayo mbegu za mwanaume zinaingizwa ndani kwenye yai la mwanamke na kifuatacho ni mimba
final ni Surrogacy ambayo ni sawa na IVF ila tofauti yake ni kwamba zinapandikizwa kwa mtu mwingine ambaye mnaingia mkataba naye anawazalia mtoto and anakuwa genetically ni wakwenu na kila codes zenu.....
ila uchaguzi unabaki ni wa wanandoa na wanacho kitaka ila swala la upatikanaji wa watoto limerahisishwa kidogo.
kinachotakiwa ni elimu