Mwanamke gani ungependa umuoe?

Mwanamke gani ungependa umuoe?

Mimi sijachagua,
Mwanamke ninaye mtaka hayupo ktk namba 1,2,3 & 4.
Namtaka huyu:
A.Awe mtii
B.Awe na MchaMungu.
C.Siangalii kigezo cha elimu
D.Asiyejikoboa wala kuweka ya dawa kichwani(kukari n.k).
E.Asiyevaa nguo fupi wala suruali.
Tembelea maeneo ya Masjid Al-Qiblataen utamkuta mwanamke huyo.
 
4.

Mwenye hofu ya Mungu, Anayenivutia mimi, Mcheshi, mpambanaji, reasonable etc.

Hiyo ni nadharia tuu, ukija kwenye vitendo ukimpata anayekidhi 'vigezo' vyote unamshukuru Mungu.Vinginevyo unachagua anayeendana kwa ukaribu na mke wa kufikirika.

Namshukuru sana Mungu kwa mke niliye naye.Ni miongoni mwa wanaume tuliobahatika niseme.I am proud of her.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro una muda gani kwenye ndoa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni swali rahisi tu wala usijifanye hauelewi

Wewe kama Mwanaume (Kidume/ Rijali)
Ungependa uoe Mwanamke was aina Gani Kati ya hawa 3?!

1. Mwanamke mpole, sio bikra, mnyenyekevu, mkimya, ukimtukana hajibu, akikuona unakuja anakukimbilia kukupokea mzigo uliobeba, anampenda Mungu, mtulivu, Introvert, kila ukimpa idea anasema ndio bwana upo sawa bwana, hachangii maendeleo anakuachia kila kitu ufanye Wewe, changamoto za maisha zikija anakukimbilia Wewe, elimu chuo kikuu

2. Mwanamke Mjanja, aggressive, sio bikra, fighter, mchapakazi, changamoto za maisha zikija anazimaliza mwenyewe alafu anakupa mrejesho, anachangia maendeleo mwanzo mwisho, sio mpole (mwongeaji), ana akili (smart), anampenda Mungu, elimu chuo kikuu

3. Mkimya, sio mwongeaji, ana bikra, changamoto za maisha zikija anachangia ila 70% anakuachia mume, ndio bwana madizaini, elimu chuo kikuu

4. SICHAGUI HATA M1 UTAKAEMCHAGUA

Kuwa mkweli Mwanamke yupi Kati ya hao 3 utamuwowa?!

Au wewe chaguo lako ni no 4?!

 
Ni swali rahisi tu wala usijifanye hauelewi

Wewe kama Mwanaume (Kidume/ Rijali)
Ungependa uoe Mwanamke was aina Gani Kati ya hawa 3?!

1. Mwanamke mpole, sio bikra, mnyenyekevu, mkimya, ukimtukana hajibu, akikuona unakuja anakukimbilia kukupokea mzigo uliobeba, anampenda Mungu, mtulivu, Introvert, kila ukimpa idea anasema ndio bwana upo sawa bwana, hachangii maendeleo anakuachia kila kitu ufanye Wewe, changamoto za maisha zikija anakukimbilia Wewe, elimu chuo kikuu

2. Mwanamke Mjanja, aggressive, sio bikra, fighter, mchapakazi, changamoto za maisha zikija anazimaliza mwenyewe alafu anakupa mrejesho, anachangia maendeleo mwanzo mwisho, sio mpole (mwongeaji), ana akili (smart), anampenda Mungu, elimu chuo kikuu

3. Mkimya, sio mwongeaji, ana bikra, changamoto za maisha zikija anachangia ila 70% anakuachia mume, ndio bwana madizaini, elimu chuo kikuu

4. SICHAGUI HATA M1 UTAKAEMCHAGUA

Kuwa mkweli Mwanamke yupi Kati ya hao 3 utamuwowa?!

Au wewe chaguo lako ni no 4?!

 
Back
Top Bottom