Mwanamke desperate na ndoa anapenda vibaya jameni

Mwanamke desperate na ndoa anapenda vibaya jameni

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,085
Reaction score
16,063
Kuna harusi ya dada yake keshokutwa, sasa ameanza kunipanga muda mrefu kwelikweli kwamba niwepo. Sasa dah! Mimi kama baharia huwa nakwepa sana hizi public appearance maana mimi najulikana flani hivi sana

Binti mwenyewe yaani hayupo kwenye mipango yangu kabisaa sasa kwenye harusi kabisa naonekana yule yulee. Dah! Sijui nitumie mbinu gani niepuke kikombe hiki

Hebu wajuzi wa kumkwepa mtu nisaidieni hapa, sana sana wale ambao huwa wakiongozana na wenza wao huwa wanatangulia mbele watakua wanajua mbinu mbalimbali

Uzi tayar
(Jaman unajua kuna siku mwili unagoma kabisa kazini yaaan nataman nipate likizo ya mwaka mzima) nimechoka sana dah
 
Kwa sasa onesha kukubali kwa moyo mmoja kwamba utaenda lakini siku ya harusi zima simu halafu nenda sehemu unayojua hawezi kukupata

Baada ya harusi washa simu yako,tafuta sababu yoyote hata ya kipuuzi umpe.... lazima akusamehe japo atakasirika kidogo lakini tukio utakuwa umelikwepa
 
Kwa sasa onesha kukubali kwa moyo mmoja kwamba utaenda lakini siku ya harusi zima simu halafu nenda sehemu unayojua hawezi kukupata

Baada ya harusi washa simu yako,tafuta sababu yoyote hata ya kipuuzi umpe.... lazima akusamehe japo atakasirika kidogo lakini tukio utakuwa umelikwepa
Daah! Una roho mbaya Sana wewe! Yaan huna huruma hata chembe kwa mwanamke mwenzio? Kweli mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzie.
 
Kuna harusi ya dada yake keshokutwa, sasa ameanza kunipanga muda mrefu kwelikweli kwamba niwepo..

Sasa dah, mimi kama baharia huwa nakwepa sana hizi public appearance maana mimi najulikana flan hiv sana sasa daaaah

Binti mwenyewe yaani hayupo kwenye mipango yangu kabisaa sasa kwenye harusi kabisa naonekana yuleeeeeee yuleeeee

Dah..sjui nitumie mbinu gani niepuke kikombe hiki

Hebu wajuzi wa kumkwepa mtu nisaidieni hapa....sanasana wale ambao huwa wakiongozana na wenza wao huwa wanatangulia mbele watakua wanajua mbinu mbalimbali

Uzi tayar
(Jaman unajua kuna siku mwili unagoma kabisa kazini yaaan nataman nipate likizo ya mwaka mzima)...nmechoka sana dah
Hapo kama baharia wa meli ya sumu kweli, vunga Corona.
 
Jibu ni hili "samahani mwenzangu sitaweza kuwepo eneo la tukio siku hiyo kwani ratiba zangu zimebana sana" acha kujipa stress na isitoshe ushasema huna mipango nae, sasa kuna kipi cha kupoteza? Aaaaaaaaah
 
Kuna harusi ya dada yake keshokutwa, sasa ameanza kunipanga muda mrefu kwelikweli kwamba niwepo. Sasa dah! Mimi kama baharia huwa nakwepa sana hizi public appearance maana mimi najulikana flani hivi sana

Binti mwenyewe yaani hayupo kwenye mipango yangu kabisaa sasa kwenye harusi kabisa naonekana yule yulee. Dah! Sijui nitumie mbinu gani niepuke kikombe hiki

Hebu wajuzi wa kumkwepa mtu nisaidieni hapa, sana sana wale ambao huwa wakiongozana na wenza wao huwa wanatangulia mbele watakua wanajua mbinu mbalimbali

Uzi tayar
(Jaman unajua kuna siku mwili unagoma kabisa kazini yaaan nataman nipate likizo ya mwaka mzima) nimechoka sana dah
😂😂😂sasa kama umeshajua yuko desperate na kuolewa na wewe hayuko kabisa kwenye Mipango yako si umwambie tu aende.

😂🤣😂sooner utalogwa na utakuwa nae ukumbiini mkisherekea ndoa yenu.
 
Back
Top Bottom