Mkuu ulipotea au na ww ulitekwa?mbona narange hapo and am a pretender![]()
Hakuna mkuu, binaadamu anaweza kukufanyia vituko mwenyewe ukaamua kuachia ngazi na kama utaogopa kuonekana zero kwa kushindwa utaishia kumuua tu. Mtoto wako unaemzaa huwa inafika wakati anakushinda, itakuwa mtoto wa mwenzio!Labda mwanaume awe zero kama bashite.
haha yeah nilitekwa na majukumu atiMkuu ulipotea au na ww ulitekwa?
Ndio maana mahusiano kwa mwanamke mtu mzima ni mara chache sana yakadumu. Angalia hata wanawake maarufu wanaosifika kwa mvuto lakini kila uchao wanaachwa.Kweli wanapretent wawekwe ndani tu then makucha yakiwatoka ndo unasomeshwa namba
Mwamamke mpaka awe mzee hajui anachotaka mkuu,,waone hvyo hvyo,,ndio mama zetu,dada zetu,wake zetu lakin hawajui wanachokitaka haswa
Kashindwa kukunjwa na wazazi wake uje kumkunja wewe uliye kutana naye ukubwani utaweza babaaa?Ni kweli na katika kipindi hicho ni rahisi kumtengeneza. Wahenga wanasema samaki mkunje angali mbichi.
Ndo katika umri huo atajua tabia halisi za binti hivyo kujua yupi anafaa na yupi hafai.Mkuu kwa dunia ya sasa mwanamke wa 18 - 23 ndo hao full tamaa kutoka na wababu wapate simu na vigari, mie wala sikubaliani na wewe
Wewe unachukua yule aliyekunjwa na wazazi wake angali mdogo(mwenye adabu).Kashindwa kukunjwa na wazazi wake uje kumkunja wewe uliye kutana naye ukubwani utaweza babaaa?