Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Muwe na vyanzo vya kipato, dunia ya sasa kuomba au kutegemea kupewa ni kujidhalilisha. Mtu akupe kama bonus ila isiwe hata vocha ya 5k tu mtu unahaha.

Mume ana wajibu ila mpenzi hapana, msijishushe sana, vanyeni kazi ni zama za kibepari.
Unadhani hatuna ndugu?tunajishughulisha
Ila point ni kuwa kwann niombe? Mtu ajue wajibu wake sio nimuombe
 
Kubabake 🤣
 
🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…