Kwa huku Mamtoni mwanamke ndie anaye owa na Mwanamke ndie anaye muacha Mwanamme upo pamoja na mimi? huko kwenu Tanzania Mwanamme ndie anaye owa huku ni tofauti mkuu umeshawahi kusafiri nje ya Tanzania? haswa kuja Ulaya? Njoo uje ujionee mwenyewe usingoje kuambiwa mkuu maendeleo hayo bado wewe hujaendelea tu?
Sawa Mkuu nimekupata Je upo Teyari kuolewa na Mwanamke ili uweze kupata Makaratasi ya Kuishi Ulaya au Amerika?Sawa,
Kwa hiyo ukiandika kiingereza mwanamke anaweza kuoa, ukitafsiri Kiswahili mwanamke anaolewa. Hili ni swala la utamaduni ambalo halitafsiriki katika lugha, lugha ya Kiswahili na utamaduni wa Kiswahili havitambui concept nzima ya mwanamke kuoa.
Kusema mwanamke kaoa, ni kama kusema "pembetatu ina nyuzi 200" katika Euclidean geometry, the geometry is simply not equipped to make this sensible due to its basic axiom.
The basic axiom in Swahili here being mwanamme anaoa, mwanamke anaolewa.
The basic axiom in Euclidean geometry being pembetatu haiwezi kuwa na nyuzi zaidi ya 180.
Now, in Non-Euclidean geometry unaweza kuwa na pembetatu yenye nyuzi 200.
In non Swahili cultures unaweza kuwa na mwanamke aliyeoa.
Kila Mtu anafaidi kwa upande wake je wakati wa kulala inakuwaje jiulize? Atalala nao wote wawili?
Sawa Mkuu nimekupata Je upo Teyari kuolewa na Mwanamke ili uweze kupata Makaratasi ya Kuishi Ulaya au Amerika?
Kama wanafurahia maisha yaoo . safi