ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
uchunguzi usio na tathmini
Poa my Queen...Changanyikeni hawajambo?habari my king.............
Poa my Queen...Changanyikeni hawajambo?
Poa my Queen...Changanyikeni hawajambo?
wewe uza location tu vipanga waanze kumsearch kwa gps.
Mchunguzi Mahiri ndani ya Kusini mwa jangwa la Sahara bado nipo na nitaendelea kuwepo huku nikiheshimu sheria zote jamiiforums.
Kuna njia nyingi sana za kumtambua mwanamke anayetafuta mwanaume lakini leo nataka kuizungumzia hii.
MWANAMKE KUTEMBEA PEKE YAKE KILA MAHALI:
Hii njia inatumiwa sana na wanawake hasa maeneo ya mijini, utakuta dada mzuri kila anapoenda anapenda kwenda peke yake yote hiyo ni kuwatengenezea mazingira ndugu watongozaji.
KWANINI WANATUMIA NJIA HII?
Kwasababu wamegundua kuwa wanaume wengi wamekuwa waoga sana wa kuwafata pindi wanapokuwa na wenzao, ni nadra sana kumkuta wanaume anaenda kumuomba namba mwanamke ambaye yupo na marafiki zake wengi huwafata wanawake ambao wapo peke yao hivyo kushinda na marafiki zao mara kwa mara huwa wanahisi wanapoteza bahati zao.
Ikitokea ametoka kazini anarudi nyumbani akiona wenzake wanaondoka basi yeye atawaambia wenzake "mimi bado nipo kuna kazi namalizia" akiwa anaenda kanisani ataiacha familia nzima iende yeye atakuwa wa mwisho au atatangulia. Wanawake wa aina hii hupenda kwenda maeneo ya mikusanyiko peke yao iwe movie, bar, restaurant au shopping wakiwa peke yao kwa kuamini maeneo hayo wanaweza kupata wanaume wa ndoto zao.
NOTE: Si kila mwanamke anayependa kutembea peke yake anatafuta mwanaume japo uchunguzi wangu umebaini zaidi ya asilimia 80 ya wanawake wanaotembea peke yao kila mara wanakuwa wakitafuta mume.
naam malikia Heaven on Earth!
naona
nini tena malikia?
darasa bado halijafanya kazi
kweli? mi mbona nishaelewa 99%? njoo pembeni basi tumaliziane! lol
jioni njema!
Wanyweshe supu ya mawe hadi wakukome...
Una kumbukumbu teh unakula sana senene nini!!!Nilikua natafuta post yako nichekee, wampeleke na HIGH SCHOOL akasome
Una kumbukumbu teh unakula sana senene nini!!!
Kuna ka ukweli hapa
Japo kwa mbaali
Weee komaaa nakula sana kichwa cha sato nitake radhii,ntakupeleka NEW SCHOOL nikuhamishe hukoo ooh
Haya poa ukimaliza kula kichwa uwe unashushia na SUPU YA MAWE ni nzuri pia
Daah ndo tabia yangu hii ila sitafuti wanaume jamani lol