1. Baba atabaki kuwa baba
2. Mama atabaki kuwa mama na hili halimpi sababu ya kuanza kufikiria namba 1 hapo juu
3. Baba na mama watabaki kuwa washauri wa kila mmoja wao ila hili haliingilii mipaka wala taratibu za namba 1 hapo juu
4. Namba moja itaingilia yote hapo juu bila kusababisha kero wala dhuluma kwa namba 2 tajwa hapo juu
5. Ulinzi na usalama wa 2 tajwa hapo juu ni jukumu la 1 tajwa hapo juu na yote yatokanayo ikijumuisha na zao la 1 na 2 kwa majaaliwa ya Muumba
Niendelee mkuu!!!!!?????