Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,927
- 22,083
Ndugu watanzania...
Katika nyumba nyingi za Tanzania tumeona familia nyingi wanawake wengi ndio wanageuka baba wa familia.. Hii ni kimaanisha wanachukua majukumu ya wanaume zao ingawa kweli kuna nyingine zinatokana na mwanaume kutokuwa na kazi lakini kuna familia nyingi wanaume wakiwa makazini wao hawana tym kabisa na familia zao na kuishia kuwaachia majukumu ya familia na watoto wake zao kisa tu kuona mke akifanya kazi...
Jamani imefika nafasi tuache ubinafsi hata kwa uapande wa wanawake tusaidiane katika familia..jukumu la familia ni jukumu la kila mmoja.. Natumaini kwa huku wale wanaume/wanwake vitegemezi wanakwenda kubadilika kwa kushare majukumu
Katika nyumba nyingi za Tanzania tumeona familia nyingi wanawake wengi ndio wanageuka baba wa familia.. Hii ni kimaanisha wanachukua majukumu ya wanaume zao ingawa kweli kuna nyingine zinatokana na mwanaume kutokuwa na kazi lakini kuna familia nyingi wanaume wakiwa makazini wao hawana tym kabisa na familia zao na kuishia kuwaachia majukumu ya familia na watoto wake zao kisa tu kuona mke akifanya kazi...
Jamani imefika nafasi tuache ubinafsi hata kwa uapande wa wanawake tusaidiane katika familia..jukumu la familia ni jukumu la kila mmoja.. Natumaini kwa huku wale wanaume/wanwake vitegemezi wanakwenda kubadilika kwa kushare majukumu