Mwanamke anapobebeshwa yasiyomuhusu!

Hivi Adam hakuumbwa na ubongo na hakuwa na uwezo wa kufikiri

Zinduna hivi unajua ni tunda gani linazungumziwa hapo? Nini Adam hakwenda shule, maprofesa na wanazuoni hawana ujanja wanapopewa ofa ya hilo tunda. Kiukweli Hawa ndo alimpa Adam tunda vinginevyo, angejitetea kuwa alibakwa na Adam.
 
Umeona hata huo utetezi wa Adam ulikuwa ni wa kuepuka lawama na hivyo ndiyo wanaume wengi walivyo haa leo hii jambo lolote likineda hovyo lawama zinaelekezwa kwa mwanamke.
 
Huu nao ni uongo mwingine

CC: FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Kimsingi wanyama wote wana lugha na kwa namna Mungu alivyomuumba mtu wa kwanza ambaye ni Adamu, alikuwa na uwezo wa kuwasiliana na kila mnyama hivyo suala la nyoka kuongea na Adamu wala lisikushangaze.

Pili, shetani ni roho yaani hana mwili.
Ili kutimiza lengo lake la kupotosha uumbaji wa Mungu, alitumia mwili wa nyoka "vessel" ili apate kuongea na mtu (Hawa).

Hivyo kwa jinsi ya mwili ni nyoka aliyekuwa akiongea lakini kwa jinsi ya roho ni shetani aliyekuwa akionge.


kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?

we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?
 
Hivi hilo tunda ni lipi?ni kitu gani?
 
Last edited by a moderator:

Na kwenye bible kuna kidemu kinaitwa Delila. kilimseduce Samson mpaka akachemka. Zinduna hajawahi ona mahausigelo wanavyowapelekesha mabosi wao tena wasomi tu, anashangaa Adam kushawishiwa na Eva.

Lile tunda halina mwanamme mjanja dhidi yake.
 
Last edited by a moderator:
Nmecheka sana lugha ya picha hahaa lol...nyoka nyoka nyoka nyoka.
kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?

we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?
 

ahsante mkuu kwa maelezo mazuri!

swala ambalo linaniwia vigumu sasa ni hili.

kama malaika anaweza kujidhihirisha na kuonekana kwa wanadamu, kwanini shetani yeye hajidhirishi? kwanini aje kwa maumbo ya vitu vingine kama mizimu na viumbe vingine kama nyoka?
 
Na kwenye bible kuna kidemu kinaitwa Delila. kilimseduce Samson mpaka akachemka. Zinduna hajawahi ona mahausigelo wanavyowapelekesha mabosi wao tena wasomi tu, anashangaa Adam kushawishiwa na Eva.

Lile tunda halina mwanamme mjanja dhidi yake.
Kwa hiyo unathibitisha hapa kwamba wanaume ni dhaifu.
Au?
 
Last edited by a moderator:
Umeona hata huo utetezi wa Adam ulikuwa ni wa kuepuka lawama na hivyo ndiyo wanaume wengi walivyo haa leo hii jambo lolote likineda hovyo lawama zinaelekezwa kwa mwanamke.

Labda mwenzangu Kiswahili kinakupiga chenga, nilifanya makusudi kuweka mtiririko wa maongezi ya kisa kizima.

Adamu na Hawa tunaambiwa walikuwa ni mwili mmoja, kwa mantiki kuwa mmojawapo akiona jambo ni zuri na lapendeza basi mwingine hana sababu ya kukinzana.

Ukisoma vizuri aya ya sita inathibitisha hilo ndio maana hata Adamu hakuwa na upinzani wowote alipopewa tunda na mkewe.

Sidhani kama kilichotokea wakati huo kinapaswa kulinganishwa na hali ya sasa, udhaifu wa Hawa au Adamu hauendani na udhaifu wa sasa.
 
Umeona hata huo utetezi wa Adam ulikuwa ni wa kuepuka lawama na hivyo ndiyo wanaume wengi walivyo haa leo hii jambo lolote likineda hovyo lawama zinaelekezwa kwa mwanamke.

Bisha kwa kuweka point zenye ujazo wa kutetea hoja zako haya maswala ni mapana yanataka maelezo yaliyo shiba bi dada.
 

Hapo mwisho kwenye red: Kwamba Eva alikula kwanza, then akampa Adam nae akala:

My take: Eva alifanywa kwanza, then baada ya kuexperience Ile ladha ndio akampa na adam. Hii ina manisha Eva alifanya kwanza na mtu mwingine sio Adam. Na Huyo mwingine ni Huyo nyoka, which is Lucifer. Kwa hiyo mwanamke ni msaliti wa enzi. Na ndivyo walivyo hata leo. No matter what
 
Last edited by a moderator:
Kumbukeni na Ile stori ya samsoni na Delilah. Wanawake wana matatizo sana. Kwa waliosoma Bible vizuri mtaweka hapa ule mstari unaowasihi wanaume kuishi na wanawake kwa umakini sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…