Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
Huyo bado ni mke wa mtu...Wakuu leteni uzoefu mtu alikuwa ni mke wa mtu ndoa kanisani kkt, anataka kuolewa tena. na mahali itolewe imekaaje hii. walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.
Wakuu leteni uzoefu mtu alikuwa ni mke wa mtu ndoa kanisani kkt, anataka kuolewa tena. na mahali itolewe imekaaje hii. walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.
TAFUTA MKE WAKO UOE SIO MKE WA MTUWakuu leteni uzoefu mtu alikuwa ni mke wa mtu ndoa kanisani kkt, anataka kuolewa tena. na mahali itolewe imekaaje hii. walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.
hapana haiwezekani chini ya jua,labda mfungie serikaliniWakuu leteni uzoefu
Mtu alikuwa ni mke wa mtu kwa ndoa ya kanisani kkkt, anataka kuolewa tena, na mahari itolewe imekaaje hii? walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.
Eleza vizuri. Je talaka ilitolewa na kanisa likaridhia? Kama ilitoka then sioni sababu ya kutokukubaliwa kufunga ndoa kanisani. Kama vipi fungeni ya Bomani.Wakuu leteni uzoefu
Mtu alikuwa ni mke wa mtu kwa ndoa ya kanisani kkkt, anataka kuolewa tena, na mahari itolewe imekaaje hii? walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.
Haijatolewa kabisaa, wala jamaa yaani mume wake wa kwanza kabla yangu hajafa,Eleza vizuri. Je talaka ilitolewa na kanisa likaridhia? Kama ilitoka then sioni sababu ya kutokukubaliwa kufunga ndoa kanisani. Kama vipi fungeni ya Bomani.
hapana haiwezekani chini ya jua,labda mfungie seri
NIPE NAMBA ZAKE MKUUMuulize fro.la. mba...
Wengine wanasema nitaoa mke wa mtu, akitaka anaweza nishitaki au hata kupinga kabisa mbele ya hadharahapana haiwezekani chini ya jua,labda mfungie serikalini
Asante baba kwa ushauri nitaufanyia kaziTAFUTA MKE WAKO UOE SIO MKE WA MTU
Kweli baba mkuu unasema. but ananipenda sana
Hata weye usijidanganye. Hakuna kanisa la Kristo linalokubali Talaka. Ukiona kanisa linalokubali Talaka usiingie hata hapo mlangoni. Bwana Yesu akasema; Mk. 10:9 Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.Eleza vizuri. Je talaka ilitolewa na kanisa likaridhia? Kama ilitoka then sioni sababu ya kutokukubaliwa kufunga ndoa kanisani. Kama vipi fungeni ya Bomani.
mbona unanitosha yaani kulogwa auAchana na wake za watu utafungwa kizazi pumbafu wewe.