Mwanamke aliyetayari karibu...

Mwanamke aliyetayari karibu...

Mapigo Saba

Senior Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
129
Reaction score
27
Dear Members happy new year!

Kwa mara nyingine napenda kuleta kwenu ombi langu la kutafuta mwanamke aliye-serious tu kuolewa.

Napenda awe Mwalimu au Nurse lakini si lazima.


Mimi nina umri wa miaka 28 nafanya kazi kanda ya ziwa so aliyetayari namkaribisha sana.
Kwa mwanamke yeyote aliye tayari ani-PM.



Note: Jukwaa hili ningependa litumike vizuri kwa manufaa chanya ili hadhi yake iendelee kuwepo vizazi kwa vizazi.
 
Dear Members happy new year!

Kwa mara nyingine napenda kuleta kwenu ombi langu la kutafuta mwanamke aliye-serious tu kuolewa.

Napenda awe Mwalimu au Nurse lakini si lazima.


Mimi nina umri wa miaka 28 nafanya kazi kanda ya ziwa so aliyetayari namkaribisha sana.
Kwa mwanamke yeyote aliye tayari ani-PM.



Note: Jukwaa hili ningependa litumike vizuri kwa manufaa chanya ili hadhi yake iendelee kuwepo vizazi kwa vizazi.

watakuja mkuu subili tu hapa hapa
 
Weka vigezo...awe na madako au flat screen, rangi, urefu, dini, awe na mtoto au hana.

Additional...GPA? mwanya, matege....n.k
 
Dear Members happy new year!

Kwa mara nyingine napenda kuleta kwenu ombi langu la kutafuta mwanamke aliye-serious tu kuolewa.

Napenda awe Mwalimu au Nurse lakini si lazima.


Mimi nina umri wa miaka 28 nafanya kazi kanda ya ziwa so aliyetayari namkaribisha sana.
Kwa mwanamke yeyote aliye tayari ani-PM.



Note: Jukwaa hili ningependa litumike vizuri kwa manufaa chanya ili hadhi yake iendelee kuwepo vizazi kwa vizazi.

all the best mkuu,
 
Weka vigezo...awe na madako au flat screen, rangi, urefu, dini, awe na mtoto au hana.

Additional...GPA? mwanya, matege....n.k
Dini yoyote ingawa mimi ni mkristu, asiwe mnene sana, urefu size ya kati tu.
 
nakutakia kila lililo jema katika hili. Ukimpata anaekufaa utuletee mrejesho pia
 
Ratesend this to pdidymia
Rateyakutoapesazamizogohukonyuma
Rateya yakujalinduguzako
Rate yakujalinduguzamkeomtarajiwa
Rate za za kutoa njeyamdoa yaani michepuko

Pls sendthis to pdidy@if.co.qu all be in %
 
Kama umekuwa ukichangia uchqkavu was harusizawenzako na kutoa buku huku ukinywa soda ya buku usioe wallahi
 
Back
Top Bottom