Mwanamke aliyejifungua anatakiwa akandwe maji ya moto siku ngapi?

unlucky

Senior Member
Aug 9, 2011
199
56
Habari zenu?

Naomba kuuliza: Kwa akina mama waliojifungua mwanamke anatakiwa akandwe maji ya moto siku ngapi?

Naomba ushauri jinsi ya kujiweka vizuri wakati ushajifungua.
 
Sababu ya kuzuia maji ya moto au vijiko vya moto ni kwamba maji juu ya joto la mwili wako, haswa katika trimester ya kwanza, ina uwezekano wa kusababisha shida na mtoto wako. Kuzamishwa kwa maji ya moto kunaweza kusababisha kuongezeka kwa joto la mwili wako, ambayo inaweza kupunguza mtiririko wa damu kwa mtoto na kusababisha mafadhaiko.
 
Nimejifungua lakini mtt bahati.mbaya alifariki tumboni
futa ilo jina. UNLUCKY.
ngoja nikupe ubuyu ni hiv jambo lolote halitimii bila ww kutamkaa. pepo wachavu watakukera sana tageti yao ni ww useme kitu kibaya ni sawa na kuwapa go on. utakuja kunishukur baadae.


usidhani muungu alikaa akaanza kuchezea udogo wa kutumia calculator kwa hesabu kali never hila alitumia maneno tu (Ulimi) na iwe na ikawa tena ikawa vyemaa.
maandiko yanasema chunga ulimi wako usiseme uongo, usishuudie uongo, usilaani wa kuhukumu coz mungu anajua you can do it na ikawa ( bali at a certain pulses)
 
Back
Top Bottom