Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
we huyo wfiyo... Vikimwagwa vyote utarudia kupikaumemention dada angu huku wa nini......ukimwaga ugali mi namwaga
mboga shauri yako
we huyo wfiyo... Vikimwagwa vyote utarudia kupikaumemention dada angu huku wa nini......ukimwaga ugali mi namwaga
mboga shauri yako
Aah wapi labda kidemu chako cha uswazi..kinachosubiri mpk hela ya pedi...wengine tunafanya just for fun uwepo usiwepo life linasonga
Mwanaume Pigana Kufa Kupona, Mwanamke Akishakugawia Hiyo Bidhaa Hafukuti Tena!!!
Na Masharti Magumu Aliyokuwa Anakuwekea Awali Hayatakuwepo Tena,.
Sasa Atakuwa Chini Yako Na Kila Utakachomueleza Atakusikia Na Kukueshimu,.
Kudekadeka Tena Kwako Itakuwa Historia,.
Inategemea mkuu, kuna nyingine ni "tamu", ukionjeshwa tu ndio unakuwa "zezeta" kabisa huambiliki wala husikii! Chezeya papuchi wewe.....wewe unadhani ni kwa nini wale "watani zangu" kila leo wanaua na kujiua kwa bastola? kisa ni papuchi tu!
Mwanaume Pigana Kufa Kupona, Mwanamke Akishakugawia Hiyo Bidhaa Hafukuti Tena!!!
Na Masharti Magumu Aliyokuwa Anakuwekea Awali Hayatakuwepo Tena,.
Sasa Atakuwa Chini Yako Na Kila Utakachomueleza Atakusikia Na Kukueshimu,.
Kudekadeka Tena Kwako Itakuwa Historia,.
Mwanaume Pigana Kufa Kupona, Mwanamke Akishakugawia Hiyo Bidhaa Hafukuti Tena!!!
Na Masharti Magumu Aliyokuwa Anakuwekea Awali Hayatakuwepo Tena,.
Sasa Atakuwa Chini Yako Na Kila Utakachomueleza Atakusikia Na Kukueshimu,.
Kudekadeka Tena Kwako Itakuwa Historia,.
Kiukweli hakuna control over a human being na hii haihusiani na kuachana...Bado mwanamke anaweza kukupotezea.
Na pia ukweli mwingine ni kuwa ili akugande ama atake kuwa na wewe kuna factor nyingi sana unatakiwa kutimiza.
Ila we all know it(men come on! semeni ukweli)...Uhusiano unaanza kumuwia easy mwanaume akishatimiza hicho. Matambo, maringo, swaga u name it. Zinaisha!! Now she becomes responsible to the relationship. Hata makubaliano yanakuwa rahisi sio kama zamani unabembeleeeza!!
Iko hivyo, wanaume wachangiaji kuweni wakweli