Mwanamke akikupenda...

Mwanamke akikupenda...

kinda strange reverend, lakini eti mi hudhani the less the money a man has, the more loving he can be! na staki kusahihishwa! mkpataga hela u play hard to get!
Wewe yaani sijui nikueleweje? lakini anyway inaonesha unaongea kinyumenyume tu.
 
<br />
<br />
Dahhhhhhh
Utabidi ubadulishe music
Sasa hivi ni mchana tu ...
Usingoje usiku maana wajua ataumwa..
Kwa hiyo amkamue mchana kweupeeee,sawa lakini kazi atafanya saa ngapi na kukamua kunamgoja?
 
Basi wewe hujakutana na majambazi ya mapenzi, na usiku yana perform tu they dont give a damn
kuna wanawake wamepinda hapa mjini, ukiwa masalon na sehemu za kusukia ndio utajua kwamba
wamepinda.kwa mtaji huu unaeza ishia umzanie sie ndie
Mamii Shantel,naomba unitumie contact za hao waliopinda kwenye ma saloon,nakuahidi nitawanyoosha,na hata kama wewe ni mmoja wapo basi unitonye na mimi nakuahidi nitakunyoosha kiulaiiiiniiiiiiiiii,.,.,.,.tena kote kote kisamaki.
 
Mwanamke ana vikolombwezo vingi sana, ukimfanyia atakultea kile, ukimwongeza lingine akifurahi basi atakuongezea vilivyo zaidi ya mwanzo. Mwanamke hakika ni mtamu akikupenda vizuri na kumpa heshima yake. Ukiweka acid korofi baaaaaasi, ile neno NAMPENDA SANA PRETA kunapungua(Preta samahani sana kwa kutumia jina lako,hata hivyo nakupenda sana aisee).
Mimi nampenda zaidi mamii.
 
<br />
<br />
Is this love or some kind of psychological problem??
Mkuu Eiyer mimi nashindwa kuelewa kabisa hizi mambo huyu bibie anaongelea,eti kutembea na nanii za ndani,mara na gaguro au mimi napata mfadhaiko wa akili?
 
<br />
<br />
Baadhi ya madada wana hiyo sana, unaweza ukaonesha hisia zako kwake na ikifika kipindi fulani atakuona wewe kama mjinga fulani hivi na anaishia kukudharau mwishowe kibuti, mbaya sana hii!

This is really true, nachoamini kuwa wanaume tukiamua tuna mapenzi ya dhati mno yasio na mapicha ila tatizo ni hawa wanawake na saikolojia zao...Huwa hawana misimamo na huwa wanaongozwa na hisia sio akili kabisaa!
Mwanzoni atadai anahitaji penzi la dhati na anaomba usije kusimsaliti na uwe na mapenzi ya kweli kwake ukimuelewa mkaanza vyema na kuishi kwa amani ila itafikia kipindi akishakuzoea sana ataanza kuichoka ile hali ya utulivu na ataanza kuzingua tu kwa kuanzisha migogoro bila sababu za msingi na hili atalifanya kukujaribu misimamo yako kwa kuwa unampenda utapigania amani ulioizoea iendelee kuwepo hata kwa gharama ya kumbembeleza na kumuomba msamaha kwa makosa yasio yako because you love her. Mwanamke anapogundua umempenda mpaka unashindwa kuwa na misimamo yakiume kupingana nae ukawa unatekeleza kila agizo lake hata kama linakuumiza kwa kigezo cha mapenzi ataanza kukudharau na kukuona zoba tu huna jipya na lazma akutafutie mume mwenzio ambae atakuwa anaweza kumuendesha kiakili ama kihisia.

Huwa tunasema wanawake hawajui wanachotaka na hio ni dhahiri na the best way ni kuishi nae katika mahusiano katika misingi yakibandidu na wala usimpe nafasi ya kumsikiliza kwa kila jambo analotaka yeye mengine unayaslash tu juu kwa juu regardless atamaindi au laa na ujue kumdekeza mwanamke wa ki Afrika ni mwiko. Madhara ya kumpenda sana mwanamke lazma atakupumbaza then atakudharau na kukusaliti tu mwishoni. Hivyo mpende moyoni tu ila mpeleke kijeshi!

Kingine nadhani ni swala la nature tu, mwanaume ni kiongozi na sifa kuu ya kiongozi ni msimamo kwa wale unaowaongoza!
Usipokuwa na msimamo utapoteza dira na raia watakudharau tu maana huna unalosimamia. Hivyo usihadaike na ule ujinga wao wanaojifanyaga nao mwanzo kwamba ooh usinisaliti sijui nakupenda sanaaa ile ni gea tu ya kukuingiza kingi na wanaume walaini au wageni katika mapenzi ndio wengi wahanga wa hio gea na htimae vibuti vitokanavyo na dharau za mamanzi!
Utashangaa kwa nini mwanaume mbabe mbabe na asiejali hisi zake ndio husujudiwa na mwanamke ila wanaume wapole na wenye penzi la dhati hupigwa Nyekundu mapema tu.?? nadhani majibu unayo sasa!!!
 
eiyer my bro, hisia chanya zikikutana na hisia hasi unapata jibu hasi. hakuna free lunch rafiki, u love a woman u get multiple love right back. u treat a woman like shit, u know who will laugh last. eti u treat me anyhow u want and u expect me to treat u like the king? hell no! japokuwa nakataa kuwa mojawapo ya masharti kuwa hela, no!
Usitudanganye mamii,hapo ulipo hand bag yako imejaa pesa za kuhongwa au vipi? au utakataa wakati muhongaji ni rafiki yangu?
 
Unaita wanaume wote mbwa?,sisi wengine tunajiheshimu bhana,au wewe ndio mbwa ndio maana unatukana wanaume wote kefule wee.
Kuna mwanaume humu aliyetembea na mwanamke mmoja toka kuzaliwa?kama yupo ni mtoto mdogo tuuu.wewe unajua ukweli wanaume ni mbwa tuuu atakama unaumia ila ukweli ndio huo wacha unafiki tubadilike kwa wake zetu.nimetumia tafsida kukuitwa mbwa wewe
 
Huwezi ukawa Na rafiki Mwenye pesa ya kuhonga wewe. Watu wa aina yako wanakuwa Na marafiki waliofanana nao kwa Tabia pia.

You live in your own small fantassy world, money does not exist there. No pun intended, stop stalking me.

Usitudanganye mamii,hapo ulipo hand bag yako imejaa pesa za kuhongwa au vipi? au utakataa wakati muhongaji ni rafiki yangu?
 
unaitwa Utamu wa kuogelea kwenye bahari ya mapenzi..........huoni mwisho nyeusi lazima iwe nyeupe la la la.
Halafu wewe Chauro chunga sana,hapa nilipo nina kesi inakuhusu,ila kama utaniruhusu nitaitaja hapa ingawa sio vizuri.
 
Wewe hujiheshimu. Hata kidogo. Huwa naangalia posts zako unaponi-quote nabaki nakushangaa tu. Anyways, enjoy. Last response from me (I guess you scored only 2??)
Unaita wanaume wote mbwa?,sisi wengine tunajiheshimu bhana,au wewe ndio mbwa ndio maana unatukana wanaume wote kefule wee.
 
Huwezi ukawa Na rafiki Mwenye pesa ya kuhonga wewe. Watu wa aina yako wanakuwa Na marafiki waliofanana nao kwa Tabia pia.

You live in your own small fantassy world, money does not exist there. No pun intended, stop stalking me.
Basi mamii,usipate hasira,pia ujue nakuzimikia sana kwa michango yako ya chachandu na urojo.
 
Back
Top Bottom