King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
babu, weeh hujisikii raha bibi anavyotembea na nanii za ndani za kwako? afu ulishaanza kutembea na gagulo zake?
<br />
<br />Aisee...........
<br />
<br />Aisee...........
<br />babu, weeh hujisikii raha bibi anavyotembea na nanii za ndani za kwako? afu ulishaanza kutembea na gagulo zake?<br />
<br /><br />
<br />
<br />babu, weeh hujisikii raha bibi anavyotembea na nanii za ndani za kwako? afu ulishaanza kutembea na gagulo zake?<br />
<br /><br />
<br />
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hapo si nakuwa napenda mimi? Hapa tunazungumzia kupendwa siyo? What if kama napendwa na watatu?.......... Aisee.....
<br /><br /><br />
<br /><br />
Is this love or some kind of psychological problem??
<br />love itself is a psychological problem! ulishawahi kujiuliza kwa nini mtu anachanganyikiwa kuibiwa mpenzi? mwili wake, anaweza kufanya nao chochote atakacho, lakini wivu na hamaki hadi watu wanajitoa uhai! <br />
<br /><br />
<br />
Wifi unajua hiyo eksiperamenti ya limao na maziwa sijawahi kufanya ehhh....ngoja ntajaribu kesho nione!!!
Unaishi wapi wewe! Pesa ni sabuni ya roho, ukiwa nazo basi mapenzi hunoga zaidi.....kama wewe ni Kapuku basi kubali kumegewa na wenye nazo and .............malizia
<br />
<br />
No,love sio pyschological problem!Love ni hisia chanya zinazoka kwenye nguvu kuu chanya nasi tunazipokea na tunatakiwa kuzitoa kwa wengine bila masharti,na hisia hizi hutufanya tujisikie vizuri na kuitazama dunia katika mtazamo chanya pamoja na mambo yanayotuzunguka,kama kuna jambo liko kinyume na chanya jua huo sio upendo kwani upendo ni chanya sio hasi!
Aiseee mkuu huogopi ww?!ngoja nami nichangi kidogo. Kiukweli Wanawake huwa wanapenda kiukweli,lakin huwa wanapata ambacho hawajakitarajia.<br />
Mwanamke anatretiwa kaMa KOPO LA CHOONI.mean anakuwa anadhamani pale anapohitajika.<br />
<br />
Kwa upande wangu mwanamke ni kama kuni.ikiungua na kumalizika unaweka kuni nyingine.<br />
<br />
Note:mwanamke akijua unampenda aTANATA AU KURINGA.
<br />eiyer my bro, hisia chanya zikikutana na hisia hasi unapata jibu hasi. hakuna free lunch rafiki, u love a woman u get multiple love right back. u treat a woman like shit, u know who will laugh last. eti u treat me anyhow u want and u expect me to treat u like the king? hell no! japokuwa nakataa kuwa mojawapo ya masharti kuwa hela, no!
Natamani kupendwa
<br />Mwanamke akikupenda amekupenda kweli, ukimkorofisha tu, tayari anakuwa mnyama!
<br />Natamani kumpenda m2 mpaka awehuke ila ndo ivo wa kupendwa hakuna
Hivi inakuwaje unampenda mtu mpaka unatamani mkaishi porini huko, watu wasiwaone, hakuna kuibiana penzi, just me and him
kama mnayajua yote hayo.......kwa nini huwa mnatukorofisha......?