Mwanamke akikupenda...

babu, weeh hujisikii raha bibi anavyotembea na nanii za ndani za kwako? afu ulishaanza kutembea na gagulo zake?<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Is this love or some kind of psychological problem??
 
babu, weeh hujisikii raha bibi anavyotembea na nanii za ndani za kwako? afu ulishaanza kutembea na gagulo zake?<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Hapo si nakuwa napenda mimi? Hapa tunazungumzia kupendwa siyo? What if kama napendwa na watatu?.......... Aisee.....
 
raha ni raha tu babu! sasa si unaangalia kupendwa kupi ndo raha zaidi?
ila inabidi ufanye risk analysis aisee, kuna raha temporary!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hapo si nakuwa napenda mimi? Hapa tunazungumzia kupendwa siyo? What if kama napendwa na watatu?.......... Aisee.....
<br />
<br />
 
love itself is a psychological problem! ulishawahi kujiuliza kwa nini mtu anachanganyikiwa kuibiwa mpenzi? mwili wake, anaweza kufanya nao chochote atakacho, lakini wivu na hamaki hadi watu wanajitoa uhai!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Is this love or some kind of psychological problem??
<br />
<br />
 
love itself is a psychological problem! ulishawahi kujiuliza kwa nini mtu anachanganyikiwa kuibiwa mpenzi? mwili wake, anaweza kufanya nao chochote atakacho, lakini wivu na hamaki hadi watu wanajitoa uhai! <br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
No,love sio pyschological problem!Love ni hisia chanya zinazoka kwenye nguvu kuu chanya nasi tunazipokea na tunatakiwa kuzitoa kwa wengine bila masharti,na hisia hizi hutufanya tujisikie vizuri na kuitazama dunia katika mtazamo chanya pamoja na mambo yanayotuzunguka,kama kuna jambo liko kinyume na chanya jua huo sio upendo kwani upendo ni chanya sio hasi!
 
ngoja nami nichangi kidogo. Kiukweli Wanawake huwa wanapenda kiukweli,lakin huwa wanapata ambacho hawajakitarajia.
Mwanamke anatretiwa kaMa KOPO LA CHOONI.mean anakuwa anadhamani pale anapohitajika.

Kwa upande wangu mwanamke ni kama kuni.ikiungua na kumalizika unaweka kuni nyingine.

Note:mwanamke akijua unampenda aTANATA AU KURINGA.
 
c wt wanapenda in a similar way...some are luvd n they also luv 4 them its a longlasting relation....bt 2others however hard they try it out.,..they fail 2win the hearts of there luved ones...
 
wifi, yaani unakamulia limao kwenye maziwa afu unafunikia pembeni, unaweka maji jikoni. ukimaliza kusonga ugali, kitu mwake! bonge la mtindi,lol

Wifi unajua hiyo eksiperamenti ya limao na maziwa sijawahi kufanya ehhh....ngoja ntajaribu kesho nione!!!

aisee, huku nilipo hata sipajui. bt nadhani pesa huharibu mapenzi. if i was rich ningefanya ile ya 'coming to america'. ningeeda ambapo hakuna anijuae ili nipendwe for who i am nt what i am. i dont believe in looks either. nod maana nikatanguliza 'kinda strange'
Unaishi wapi wewe! Pesa ni sabuni ya roho, ukiwa nazo basi mapenzi hunoga zaidi.....kama wewe ni Kapuku basi kubali kumegewa na wenye nazo and .............malizia
 
eiyer my bro, hisia chanya zikikutana na hisia hasi unapata jibu hasi. hakuna free lunch rafiki, u love a woman u get multiple love right back. u treat a woman like shit, u know who will laugh last. eti u treat me anyhow u want and u expect me to treat u like the king? hell no! japokuwa nakataa kuwa mojawapo ya masharti kuwa hela, no!

<br />
<br />
No,love sio pyschological problem!Love ni hisia chanya zinazoka kwenye nguvu kuu chanya nasi tunazipokea na tunatakiwa kuzitoa kwa wengine bila masharti,na hisia hizi hutufanya tujisikie vizuri na kuitazama dunia katika mtazamo chanya pamoja na mambo yanayotuzunguka,kama kuna jambo liko kinyume na chanya jua huo sio upendo kwani upendo ni chanya sio hasi!
 
ngoja nami nichangi kidogo. Kiukweli Wanawake huwa wanapenda kiukweli,lakin huwa wanapata ambacho hawajakitarajia.<br />
Mwanamke anatretiwa kaMa KOPO LA CHOONI.mean anakuwa anadhamani pale anapohitajika.<br />
<br />
Kwa upande wangu mwanamke ni kama kuni.ikiungua na kumalizika unaweka kuni nyingine.<br />
<br />
Note:mwanamke akijua unampenda aTANATA AU KURINGA.
Aiseee mkuu huogopi ww?!
 
eiyer my bro, hisia chanya zikikutana na hisia hasi unapata jibu hasi. hakuna free lunch rafiki, u love a woman u get multiple love right back. u treat a woman like shit, u know who will laugh last. eti u treat me anyhow u want and u expect me to treat u like the king? hell no! japokuwa nakataa kuwa mojawapo ya masharti kuwa hela, no!
<br />
<br />
Hasi na chanya ni nguvu mbili tofauti haziwezi kuwa pamoja!Point ni mtu anaeujua upendo hawezi kuwa psycho anakuwa mtambuzi,anajua nini cha kufanya sio kutembea na nguo zandani za mwenzi wake,wala kuchanganyikiwa na mtu aliekutana nae ukubwani!
 
SI mpaka porini BB. Mimi nilishaishi na hubby nchi fulani kwenye mji huo blacks tulikuwa sisi tu basi n mimi na yeye tu we were very safe. Hakuna cha naenda kuangalia mechi wala naenda kunywa bia moja mbili. Kila mahali tulikuwa pamoja kama kumbi kumbi. Tukiwa bongo majaribu ni mengi sana. I wish we could live there forever.
Hivi inakuwaje unampenda mtu mpaka unatamani mkaishi porini huko, watu wasiwaone, hakuna kuibiana penzi, just me and him
 
Back
Top Bottom