Rashdind
Senior Member
- Jul 19, 2011
- 194
- 60
Wanaume jaman hamna jema, mkipendwa tabu oooh king'ang'anizi,watu wakiwachakachua na kuwachuna ooohh hajatulia,hana upendo wa kweli,mnataka nn nyie viumbe?!!!
tunataka vyote sawa mama.
Wanaume jaman hamna jema, mkipendwa tabu oooh king'ang'anizi,watu wakiwachakachua na kuwachuna ooohh hajatulia,hana upendo wa kweli,mnataka nn nyie viumbe?!!!
]Hata ukimwambia una mtu atasubiri hadi kipyenga cha mwisho, na akidhibitisha atalia na siku inayo fuata atasahau pamoja na kuwa amesubiri miaka
[/B]Nirahisi kumpiga kibuti mwanamke uliyempenda kwanza kuliko mwanamke aliye kupenda kwanza
hivi wanaume lipi jema kwenu jamani msipopendwa shida mkipendwa tabu, ndo maana siku hizi mmegeuzwa ATM
Naona wanaume wanafarijiana!
mwanaume akikupenda atakuganda mpaka ujute kuzaliwa. Akishapata anachotaka huyo anasepa.Hata ukimwambia una mtu atasubiri hadi kipyenga cha mwisho, na akidhibitisha atalia na siku inayo fuata atasahau pamoja na kuwa amesubiri miaka
mwanaume akikupenda atakuganda mpaka ujute kuzaliwa. Akishapata anachotaka huyo anasepa.
si wote hila dada hao tunawaita super glue wanakomaa mpaka yu radhi kulia machozi kbsaa
yaani mpo tayari mjifanye wajinga mpate mnachotaka.
Yaani nyie sijui mpo vipi!!
baadae anakwambie ulikuwa walingia nin? Sometimez ni unyama
yaani, tena anatamba hajawahi kukataliwa na msichana basi atajitutumua ili mradi asishindwe.
hiv wew ni ndugu yake JOB apple lol yani unakipaji cha kugundua sana
umegunduaa eehhe wanafarijiana ahhaahhaa
yani sijui niku HUG maana wameshidwa waseme nini wakati girls we run the world...
we are the stars bana they can survive without us ..talk of the day ni girls girls tu lol
Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote!tunataka vyote sawa mama.
mwisho wa mijanaume hyo huwa ni Ukimwi tu kwani husninyo mi hili linanitatiza wanaume utamani mwanamke na akamg'ang'ania kwa uongo mwingi na acts za apa na pale mpaka ampate na wanawake wapo wanaowatamani wanaume si kuwapenda? Ujue haya mawili yana utofauti?
yap, hata wanawake huwa tunatamani.
kumjua alietamani na aliependa ni big issue ila nachojua hakuna kupenda bila kutamani ila waweza mtamani ila humpendi
Hapo tu ndio guys mnaniboaga... hua mnaona sifa.. anatokea dada wa watu anakupenda haambiwi... But because hujatumia nguvu kumtafuta na kawa wazi kwao basi unamuona kama ana mapungufu... na ukijua tu anakependa kiasi hicho utamueeeendesha... utamsimulia kwa rafikizo... utamsumbua hadi kumwambia aje kwako akufulie huku ukimounesha na kumpa matumaini you feel the same way BUT huku ukimcheka... inasikitisha. Ndio hapo sasa unakuja tumbukia kwa kichaa na kuishia kurusha uzi MMU "Mke wangu hashikiki.. Nisaidieni!!"
Na hilo la kupenda Mungu katujalia hapo... yaweza onekana kama ni udhaifu... lakini ndio maana Wanawake we are more Human than men and More inhuman than men depending na the way umekua affected.
Inawezekana ni kweli, kuna mmoja aliniganda ikabidi nimtambulishe kwa girlfriend feki ili aache kunisumbua. Lakini alikomaa tu akasema hata kuiba poa tu!