Mwanamke aeleza mateso ya Boko Haram

Mwanamke aeleza mateso ya Boko Haram

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,035
Reaction score
134,292
Wanawake na watoto waliokuwa
wakishikiliwa mateka na kikundi
cha Kiislam cha Boko Haram
kaskazini mwa Nigeria
wamesema baadhi yao waliuawa
kwa kupigwa mawe na
wapiganaji wa Boko Haram
wakati jeshi lilipokaribia
kuwaokoa.
Walikuwa wakizungumza siku
moja baada ya karibu mateka
mia tatu kuokolewa kutoka msitu
wa Sambisa na kuwapeleka
katika kambi ya serikali.
Mwanamke mmoja ambaye
alijifungua akiwa mateka
ameelezea namna wapiganaji
hao walivyomkata koo mumewe
wake mbele yake, kabla
mwanamke huyo kutenganishwa
na watoto wake wengine
watatu.
Mwandishi wa Associated Press
ambaye aliotembelea kambi hiyo
amesema wengi wa watoto
waliokolewa walikuwa
wanaugua utapiamlo mkali.
Jeshi la Nigeria limesema
limewaokoa zaidi ya watu mia
saba katika kipindi cha wiki moja
iliyopita wakati wa mapigano
makali yanayoendelea dhidi ya
Boko Haram.
Source:BBC
 
Aiseee....km mwisho wa dunia umefika na ijulikane maana matukio ya ajabu yamezidi sn siku hz.
 
Mods ondoeni huu upuuzi na uzushi

Sijajua kuna uhusiano gani? Maana wewe ikiguswa ccm kwenye jambo lao LA hovyo unakuja juu. Pia vikiongelewa vikundi vya kidini vinavyo Fanya matendo ya kijinga kwa kigezo cha imani Kali unakuja juu tena.
 
Mods ondoeni huu upuuzi na uzushi
wewe unataka mods waiondoe hii topic kwasababu gani? au wewe nawe ni boko haram? hii story imetanganzwa asubuhi ya leo hii BBC swahili, niliisikia kabla ya kuja kuisoma hapa jf. au unaona inakuchafulia dini yako?
 
Chakaza, hilo ni jendawazimu hutakiwi hata kuangalia upum.bavu linaoandikaga hapa. Ni juha la kwanza hapa jf. Achana nalo halina maana!.


Sijajua kuna uhusiano gani? Maana wewe ikiguswa ccm kwenye jambo lao LA hovyo unakuja juu. Pia vikiongelewa vikundi vya kidini vinavyo Fanya matendo ya kijinga kwa kigezo cha imani Kali unakuja juu tena.
 
Tunasubiri waislam watoe tamko juu ya hali hii. Waislam wa jf, ni nini mawazo yenu katika hili?
 
Hiyo ndo dini ya amani toka kwa Allah.
Hawataki elimu kwani kwao ni Haram.
Kuchinja,kuteka na kujilipua mabomu kwao ni kama kumung'unya pipi tu.
Endeleeni kuitetea dini yenu lakini huu ni ushahidi kwamba dini yenu inazalisha watu wenye mioyo ya ukatili na wasio na ubinadamu.
 
Are we worshipping the same God? I doubt. Hata hao maboko na mashababu sidhani kama wanamwabudu huyo 'Allah" wa amani. Napenda kuamini kuwa hao si "Waislamu" hata kidogo.
There must be other gods let alone Jehova. Tusidanganyane. Mungu gani huyu anayeruhusu unyama ufanyike kwa binadamu wasio na hatia hasa kinamama?
Halafu Mbona kwenye nyumba za ibada tunasita kulaani vitendo hivyo? Au tunaogopana badala ya kumwogopa Mungu?
 
Back
Top Bottom