Binafsi sina shaka hata chembe kuwa kama kuna rafiki wa kweli katika vita dhidi ya ufisadi na ubadhirifu au dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka basi katika nchi yetu hakuna rafiki bora kama mtandao wa JamiiForums. Na hapa nasema nikiwa na maslahi kwani ni miongoni mwa waanzilishi wa mtandao huu.
Niandikie: mwanakijiji@jamiiforums.com
Mzee wetu MMM kama kweli hili /hilo hapo juu ndiyo inayoweza kumweka ndani Max for a Week najua harakati ya Raisi ya majipu bado iko moto kiasi hiki na subiri kuona majipu ya maana kwa wote wanaozungukwa na kadhia hii. Nilikuwa na imani kubwa baada ya kusitishwa kwa uteuzi wa DCI. Ni kiona kuwa pengine ni maboresho lakini kuja kwa Kesi ya Max na hii hoja zako hapo juu nimebaki mdomo kufa ganzi. Kuna jambo haliko sawa.
Rais Magufuli atengua uteuzi wa DCI - Habari | Gazeti la Kiswahili ...
www.mwananchi.co.tz/.../Rais...atengua-uteuzi-wa-DCI/.../index.ht...
Translate this page
Oct 29, 2016 - Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Diwani Athuman.