Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,628
- Thread starter
-
- #81
Du!, laiti ungelijua!, mimi zangu ni mature tuu na sio vibinti, hata siku Ile kiukweli kwako nilifika bei, ila niligundua wewe ni too genuine, only for true love and real love, kwa vile mimi ni player, just for having fun, nikaogopa ku attempt ili nisije kuku hurt!.Dogolas paskali hatongozagi vikongwe kama kina siye. Yy zake ni za damu mbichi ya ma mheshimiwa wa chanikiwiti
Serious issues ni Monday to Thursday, Friday ni weekend, hivyo Kwa Maslahi ni serious issues, weekend ni light issues na leisure.tunataka zile mada zako za kwa maslahi ya taifa na sio magauni na vipedo
Ok nimekusomaSerious issues ni Monday to Thursday, Friday ni weekend, hivyo Kwa Maslahi ni serious issues, weekend ni light issues na leisure.
P
Kapicha kidogo jamani,mwe!
Kaka ungeweka na kapicha tumuone, hongera zake kwa kupendeza
Bila picha uzi wako hauna maana ni kama umbea wa vibarazani
Pascal Mayalla
Naunga mikono, miguu na kichwa kabisaa!! Bila picha huu uzi hauna mashiko wala maana yoyote
Huu uzi bila picha, ni sawa na UDAKU tu
Picha imekosekana aisee
Picha......
Picha........
Picha..........
Kama hakuna picha weka picha...
Kapicha kidogo jamani,mwe!
Picha mkuu,habari bila picha inakuwa kama ushigongo
Kwa wale ambao mnaniamini, naombeni tuu muamini kuwa mwana JF mwenzetu alipendeza na kutokelezea. Msiwe ma Tomaso!, "Heri wanaoamini bila kuona", hivyo nawaombeni sana mniamini, after all jf was meant to be the home of great thinkers, majina na picha ni mambo ya simple minds, great mind ni ideas tuu, hivyo you can just imagine..Nimesoma heading nikashuka chini kutafuta picha sijaiona hivo sitosoma uzi wako mleta mada mpaka uweke picha na ukiweka picha usisahau kunitag.
Nyota kubwa lakini akili kisoda..... hapo ndo huwa simwelewi nyumbu
Ila hakushindi wewe mkuu, yaani wewe ni mmbeya na unatabia za kike sanaKumbe mkuu na wewe ni mbea hivi?
But Kaka Pascal,a picture speaks louder than words!Kwa wale ambao mnaniamini, naombeni tuu muamini kuwa mwana JF mwenzetu alipendeza na kutokelezea. Msiwe ma Tomaso!, "Heri wanaoamini bila kuona", hivyo nawaombeni sana mniamini, after all jf was meant to be the home of great thinkers, majina na picha ni mambo ya simple minds, great mind ni ideas tuu, hivyo you can just imagine..
P
But Kaka Pascal,a picture speaks louder than words!Kwa wale ambao mnaniamini, naombeni tuu muamini kuwa mwana JF mwenzetu alipendeza na kutokelezea. Msiwe ma Tomaso!, "Heri wanaoamini bila kuona", hivyo nawaombeni sana mniamini, after all jf was meant to be the home of great thinkers, majina na picha ni mambo ya simple minds, great mind ni ideas tuu, hivyo you can just imagine..
P
Mkuu Butron, its true a picture not only speaks louder than words, but speaks thousands words, but kwa upande wangu kuhusu bandiko hili, the central them is more idealistic than vision and its very unfortunately only very few people humu jf we share the same vision!, only very people can see what I see, mfano kwenye bandiko hili, huu ni mchango wa 89, lakini amini usiamini ni mchangia mmoja tuu ndie ambaye ameona what I see!. The real essence ya bandiko hili is the motive behind sio picha!.But Kaka Pascal,a picture speaks louder than words!
Huyu atakuwa shonza tu hakuna mwingineWana Jf,
Kwanza hii ni Friday night, hivyo mara moja moja let's socialize and take it easy with threads za light touch.
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!", hata Adam, aliyefinywagwa na Mungu mwenyewe, akaambiwa na Mungu mwenyewe, "hiki usifanye", "usile tunda la mti wa katikati" "ukila utakufa!", lakini Adamu alipokuja kushawishiwa na mwanamke Eva, tule!, Adam alikula, na wote wakaangamia!. Hakuna any man strong enough anayeweza kushinda "the strength of a woman".
Hata mtu aliyeelezwa kuwa na nguvu kuliko binadamu wote aliitwa Samson, Nate na miguvu take yote was nothing mbele ya mwanamke mrembo Delilah, hivyo na mimi naomba kukiri kuwa, hata mimi, mbele ya wanawake, niko very weak, hivyo leo nimejikuta nalazimishwa kuangalia Wasafi TV, live ikonyesha birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, ikitangazwa live kutoka Mlimani City, na nimelazimishwa kuangalia by non other than a woman!, kiukweli wanawake wana power na command!.
Hivyo katika kufuatilia sherehe hiyo, ndipo nikamuona mwana jf mwenzetu, ambaye ni Naibu Waziri akitinga kwenye red carpet, na kiukweli ametokelezea kwa kupendezea na gauni lake la rangi ya Chanikiwiti.
Jee kuna ubaya wowote, kumsifia mwana jf mwenzetu, ukimuona mahali ametokea na ametokelezea?.
Macho yameona, nimeamua kukiri amependezea!, hongera mwana jf mwenzetu na hilo gauni lako la Chanikiwiti.
Naomba msiniulize ni nani na wala msiulizie picha, wewe jua tuu ni mwana jf mwenzetu ambaye ni naibu waziri, amehudhuria hafla birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, huku amevalia gaining lake la rangi ya Chanikiwiti, amependeza, ametokelezea.
Nawatakia Furahi Dei njema.
P.
But Kaka Pascal,a picture speaks louder than words!Kwa wale ambao mnaniamini, naombeni tuu muamini kuwa mwana JF mwenzetu alipendeza na kutokelezea. Msiwe ma Tomaso!, "Heri wanaoamini bila kuona", hivyo nawaombeni sana mniamini, after all jf was meant to be the home of great thinkers, majina na picha ni mambo ya simple minds, great mind ni ideas tuu, hivyo you can just imagine..
P
Nimekusoma Kaka Pascal.Mkuu Butron, its true a picture not only speaks louder than words, but speaks thousands words, but kwa upande wangu kuhusu bandiko hili, the central them is more idealistic than vision and its very unfortunately only very few people humu jf we share the same vision!, only very people can see what I see, mfano kwenye bandiko hili, huu ni mchango wa 89, lakini amini usiamini ni mchangia mmoja tuu ndie ambaye ameona what I see!. The real essence ya bandiko hili is the motive behind sio picha!.
P.
CC; Wakudadavua
Kashajifungua kweli huyo Mwana JF mwenzetu?
Cc: Juliana Shonza
Kwamba mkuu umemzimia Juliana Shonza basi sawa.
Next time kwenye nyuzi za great minds, kama mtu hajatajwa jina!, usitaje jina!. Just get the mesege na keep the names.Huyu atakuwa shonza tu hakuna mwingine
Jina lililotajwa la Shonza halihusiana na mada inayoendelea,nimeuliza tu GT Paskali kama mwana JF mwenzetu kajifungua.Next time kwenye nyuzi za great minds, kama mtu hajatajwa jina!, usitaje jina!. Just get the mesege na keep the names.
Kwa vile ukumbi huu was meant for great thinkers, hata kama wewe sio great thinker, ni mtu wa kawaida tuu kama mimi, ukiweza kuwasilisha hoja kwa idea tuu bila kutaja taja majina ya watu, utakuwa kama GT, mfano mimi sio GT, lakini nimewasilisha hoja bila kutaja majina!.
P
Mkuu King Kong, hiki ndicho ninachosema, guy ni ukumbi wa ma GT, unauliza majina ya nini?. Ma GT wana deal na ideas na sio majina!.Jina lililotajwa la Shonza halihusiana na mada inayoendelea,nimeuliza tu GT Paskali kama mwana JF mwenzetu kajifungua.
Sawa GT Mkuu naogopa kutaja jina lakoMkuu King Kong, hiki ndicho ninachosema, guy ni ukumbi wa ma GT, unauliza majina ya nini?. Ma GT wana deal na ideas na sio majina!.
Hili la kuulizia kama Mwana JF fulani kajifungua, hii ni personal issue, mtumie PM umuulize
P
Asante kwa kutotaja kwa sababu kuna Msukuma mmoja wa kufikia, alisema Mayalla maana yake ni njaa, na watu wameamini, in reality Mayalla sio njaa bali ni ukame unaosababisha baa la njaa, famines kutokana na drought na sio njaa ya chakula, njaa ya tumbo!.Sawa GT Mkuu naogopa kutaja jina lako
Umechelewa kuileta hii maana, sie tumeshazoea Ile Ilein reality Mayalla sio njaa bali ni ukame unaosababisha baa la njaa, famines kutokana na drought na sio njaa ya chakula, njaa ya tumbo!.
Haaaa Aiseee Kumbe alituingiza Chaka mpaka leo nilikuwa najua ni NJAAAsante kwa kutotaja kwa sababu kuna Msukuma mmoja wa kufikia, alisema Mayalla maana yake ni njaa, na watu wameamini, in reality Mayalla sio njaa bali ni ukame unaosababisha baa la njaa, famines kutokana na drought na sio njaa ya chakula, njaa ya tumbo!.
P
Hawa watu wa kufikia Usukumani na kujitabaisha ni Wasukuma, lakini in reality na kiukweli ni Banyamulenge, wanatusumbua sana.Haaaa Aiseee Kumbe alituingiza Chaka mpaka leo nilikuwa najua ni NJAAkumbe ni UKAME.
Hahahaahaaa MZIRANKENDEHawa watu wa kufikia Usukumani na kujitabaisha ni Wasukuma, lakini in reality na kiukweli ni Banyamulenge, wanatusumbua sana.
P