NJOGHOMILE
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 657
- 1,868
Picha imekosekana aisee
Nimeishia hapa kusoma, sikutaka kuendelea.Wana Jf,
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!",
.
Ukitafakari zaidi kwenye hii phrase hapa kwamba "Men have muscles but women have real powers" utaelewa kwa haraka maandishi ya mkuu Pascall kwanini anakiri ameshindwa kuruka kiunzi cha kuanzia nyumbani kwake ambapo kashinikizwa na mwanamke kuangalia wasafi TV na sio CNN kipindi akipendacho cha Amanpour.Wana Jf,
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!", hata Adam, aliyefinywagwa na Mungu mwenyewe, akaambiw na Mungu mwenyewe, "hiki usifanye", "usile tunda la mti wa katikati" "ukila utakufa!", lakini Adamu alipokuja kushawishiwa na Eva, tule!, Adam alikula, na wakaangamia!. Hakuna a man strong enough anayeweza kushinda "the strength of a woman", hivyo naomba kukiri kuwa mimi ni very weak kwa wanawake, hivyo leo nimejikuta nalazimishwa kuangalia Wasafi TV, live ikonyesha birthday ta Wema Sepetu live kutoka Mlimani City, na nimelazimishwa kuangalia by non other than a woman!, kiukweli wanawake wana power na command!.
Hivyo katika kufuatilia sherehe hiyo, ndipo nikamuona mwana jf mwenzetu, ambaye ni Naibu Waziri akitinga kwenye red carpet, na kiukweli ametokelezea kwa kupendezea na gauni lake la rangi ya Chanikiwiti.
Jee kuna ubaya wowote, kumsifia mwana jf mwenzetu, ukimuona mahali ametokea na ametokelezea?.
Macho yameona, nimeamua kukiri amependezea!, hongera mwana jf mwenzetu na hilo gauni la Chanikiwiti.
Naomba msiniulie nani na wala msiulizie picha, wewe jua tuu ni mwana jf mwenzetu ambaye ni naibu waziri.
P.
Nyota kubwa lakini akili kisoda..... hapo ndo huwa simwelewi nyumbuWema Ana nyota bhana 🤣🤣
Nyota kubwa lakini akili kisoda..... hapo ndo huwa simwelewi nyumbu
Aa kumbe ni huyu mwanachadema msaliti.
Hivi alikuwaga member wa MMU huyu bi shost?
Wewe ni pimbiWana Jf,
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!", hata Adam, aliyefinywagwa na Mungu mwenyewe, akaambiw na Mungu mwenyewe, "hiki usifanye", "usile tunda la mti wa katikati" "ukila utakufa!", lakini Adamu alipokuja kushawishiwa na Eva, tule!, Adam alikula, na wakaangamia!. Hakuna a man strong enough anayeweza kushinda "the strength of a woman", hivyo naomba kukiri kuwa mimi ni very weak kwa wanawake, hivyo leo nimejikuta nalazimishwa kuangalia Wasafi TV, live ikonyesha birthday ta Wema Sepetu live kutoka Mlimani City, na nimelazimishwa kuangalia by non other than a woman!, kiukweli wanawake wana power na command!.
Hivyo katika kufuatilia sherehe hiyo, ndipo nikamuona mwana jf mwenzetu, ambaye ni Naibu Waziri akitinga kwenye red carpet, na kiukweli ametokelezea kwa kupendezea na gauni lake la rangi ya Chanikiwiti.
Jee kuna ubaya wowote, kumsifia mwana jf mwenzetu, ukimuona mahali ametokea na ametokelezea?.
Macho yameona, nimeamua kukiri amependezea!, hongera mwana jf mwenzetu na hilo gauni la Chanikiwiti.
Naomba msiniulie nani na wala msiulizie picha, wewe jua tuu ni mwana jf mwenzetu ambaye ni naibu waziri.
P.
Kwani ana ndoa huyu!
Mkuu umeniwahi nilitaka kusema the same thing ,Kumbe mkuu na wewe ni mbea hivi?
CC; WakudadavuaWana Jf,
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!", hata Adam, aliyefinywagwa na Mungu mwenyewe, akaambiwa na Mungu mwenyewe, "hiki usifanye", "usile tunda la mti wa katikati" "ukila utakufa!", lakini Adamu alipokuja kushawishiwa na mwanamke Eva, tule!, Adam alikula, na wote wakaangamia!. Hakuna any man strong enough anayeweza kushinda "the strength of a woman".
Hata mtu aliyeelezwa kuwa na nguvu kuliko binadamu wote aliitwa Samson, Nate na miguvu take yote was nothing mbele ya mwanamke mrembo Delilah, hivyo na mimi naomba kukiri kuwa, hata mimi, mbele ya wanawake, niko very weak, hivyo leo nimejikuta nalazimishwa kuangalia Wasafi TV, live ikonyesha birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, ikitangazwa live kutoka Mlimani City, na nimelazimishwa kuangalia by non other than a woman!, kiukweli wanawake wana power na command!.
Hivyo katika kufuatilia sherehe hiyo, ndipo nikamuona mwana jf mwenzetu, ambaye ni Naibu Waziri akitinga kwenye red carpet, na kiukweli ametokelezea kwa kupendezea na gauni lake la rangi ya Chanikiwiti.
Jee kuna ubaya wowote, kumsifia mwana jf mwenzetu, ukimuona mahali ametokea na ametokelezea?.
Macho yameona, nimeamua kukiri amependezea!, hongera mwana jf mwenzetu na hilo gauni lako la Chanikiwiti.
Naomba msiniulize ni nani na wala msiulizie picha, wewe jua tuu ni mwana jf mwenzetu ambaye ni naibu waziri, amehudhuria hafla birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu.
Nawatakia furahi DEI njema
P.
Sina mbavu kwa kicheko! JF ni kiboko!Ila thread za aina hii bila picha ni kama dera bila chura (@behaviorist) na inakuwa ni kanzu