Exactrly kweli unamfaham. Last week alikua kwenye project zake Iringa. Serious bro. Huwez amini ila ndio ivyo anategemewa huzikwa leo saa nne asbh nyumbani Kwao Kilwa.Bro kuwa serious basi, Rama week iliyopita alikua iringa akifanya kazi ya bank moja na akanifanyia kazi yangu.
Ngoja nmpigie nihakikishe
MwenyewePumziko La Amani Apate Mwendazake.
Pikipiki alikuwa anaendesha yeye mwenyewe au alikuwa abiria?
MwenyewePumziko La Amani Apate Mwendazake.
Pikipiki alikuwa anaendesha yeye mwenyewe au alikuwa abiria?