Angalia joined na last seen
Nadhani alijoin kwa jina lake baadae baadae akaona haifai ndipo aka rejoin kwa haya majina yetu humu.
Amekufa Tanzania amezaliwa China.Sijakupata vyema kiongozi fafanua kidogo mkuu...
Aiseee!!!Amekufa Tanzania amezaliwa China.
Sasa China watanufaika na akili yake vilivyo huku gamboshi alikuwepo kuwepo tu maana taifa lenyewe hata halijui umuhimu wa watu kama hao
Amekufa Tanzania amezaliwa China.
Sasa China watanufaika na akili yake vilivyo huku gamboshi alikuwepo kuwepo tu maana taifa lenyewe hata halijui umuhimu wa watu kama hao
Inaumiza sana.....RIP Nelson OlutuUBAGUZI HAUTAISHA DUNIANI YULE MTOTO WA CDF KAWA PROMOTED KWELI NELSON KAWA KAMA MZOGA
Labda ndie alikuwa mkokotoaji mzuri wa mambo ya ndege,urubani,viwanja vya ndege na mambo mengine,kuna jamaa huwa anatiririka kiuweledi hasa yanapokuja mambo ya AeroplaneA na B yanaweza kuwa majibu pia my lovely.
Ila pia yaweza kuwa UONGOZI wa JF umeamua kufuta posts zake baada ya kufariki marehemu kutokana na sababu maalum mkuu.
Ila haibadilishi matokeoUBAGUZI HAUTAISHA DUNIANI YULE MTOTO WA CDF KAWA PROMOTED KWELI NELSON KAWA KAMA MZOGA