Hivi ni kwanini Marubani wengi nchini Tanzania ukifuatilia ' Background ' zao utakuta 99.9% wanatoka Familia za Kitajiri ( zinazojiweza Kiuchumi ) na siyo zile tutokazo akina An Eagle a.k.a Unga Robo Families? Kuna Mtu Mmoja nimemuuliza Ada ya chini kwa mwaka katika Vyuo vya Urubani kwa Afrika kaniambia ni Tsh 45 Milioni huku vile vya Ulaya / Marekani Ada yao huwa ni kati ya Tsh 90 Milioni hadi Tsh 120 Milioni kwa mwaka. Sasa sijui hapa aliniokota ( alinidanganya ) tu au labda alikuwa sahihi.
Hivi ni vigezo gani vimetumika kusema hii ID ni ya marehemu ?
Hakuna kina Nelson Olotu wengine ?
Haya mambo hayapo Tanzania tu ,nani anakumbuka alivyokufa Paul Walker ? Kila mtu alikuwa R.I.P Paul wakasahau na marehemu mwingine ambaye alikuwa dereva
Ndugu kiongozi, pesa inachukua thamani ya utu, hii inaonesha wazi kwamba hakuna politician ambaye yuko na mwananchi mnyonge, yale maneno kusema wako na wanyonge yote ni uzandiki na unafiki, na kudhirisha hilo Mungu naye hua anawaumbua kama hivi, lakini embu ona pamoja na hayo uandikwe magazetini uwe na cheo , unaishia mavumbini.
Hakuna mahali nimesema tuige ,nimetoa mfano wa tukio kama hilo kuwahi kutokeaTukiiga tamaduni za wenzetu kuna mambo mengine tukifanya tutaambiwa tunapotoka kimaadili, eti kwa kuwa wazungu wanafanya.
Wao wana tamaduni zao na sisi tuna tamaduni zetu mkuu...!
Hakuna mahali nimesema tuige ,nimetoa mfano wa tukio kama hilo kuwahi kutokea
Halafu nisaidie vimetumika vigezo vipi kujua hii ID ni ya marehemu ?
Kina Nelson wapo wengi
Kwani ni lazima wawepo hapa kuthibitisha ? Kama wamesahau password ama hawatumii Jf tena ?Wangekuwepo hao wengi wangeshakuja kuthibitisha hapa na vyeti vyao na vitambulisho pia.
Ila kwa kuwa mpendwa wetu ameshafariki ndio mana anashindwa kuthibitisha angekuwa HAI angekuja kukuthibitishia mkuu. Ahsante.
Naomba kuuliza kupitia uzi huu.Mwanamke wa kwanza rubani Tanzania aliitwa Betty Olotu.Je wana uhusiano na huyu rubani Nelson Olotu
Tunaishukuru sana jf kwa kumkumbuka UlotuUBAGUZI HAUTAISHA DUNIANI YULE MTOTO WA CDF KAWA PROMOTED KWELI NELSON KAWA KAMA MZOGA