Mwanajeshi wa Korea Kaskazini ahamia K. Kusini kwa kuogelea

kusoma media za urusi na china peke yake ni kupotoka coz na wao wanaandika habari zenye interest na mataifa yao.....yaani ww uende kusoma sputnik ama interfax na russian insider habari ya marekan au ujeruman hutokuta positive hata moja hata usome miaka kumi...hizo russian today na zinginezo zilianzishwa mahususi kueneza ushwaish wa russia dubian kama zilivyo kina BBC so kama ww unasoma hizo basi utakua na mawazo ya upande mmoja kijana, soma za east na za west af bongo yako itachanganua
Kama hao Russian insider Duh wanaponda West Sputnik wenyewe hawaingii ndani.
 
Kwani hayo maboya huwezi kuyabadili rangi mwenyewe kwa kutumia makopo 4 tu ya spray paint kwa gharama isiozidi $10?

Hili ndilo tatizo letu Watanzania, tunakimbilia ku comment bila ya kutafakari kilicho andikwa kwanza - please revisit my comments - kuna sehemu nimesema labda kama mkimbizi alitumia inner tube ya tairi - kwa akili za kawaida tu kwani tube ya ndani ya tairi la gari lina rangi gani???
 
Si bora likija nyambizi tutasingizia ni vita mkuu wanaume wa dar wanaogopa panya road(watoto wenye mapanga na manati) seuse nyambizi kwanza wakiambiwa inakuja iko njian watawakuta wanawake mji mzima wanaume wamefariki kwa BP we mwanaume anaogopa mende,panya,ugali et kisa mugumu kumega anakula soseji moja na mchuzi wa pweza wapi na wapi wanaogpa
 
Tukio kama hilo ni la kuangalia kwa jicho la ziada. hiyo inaweza kuwa ni njia mojawapo ya kumpumbaza adui

Ndiyo hivyo mkuu, Dunia isimu-underrate Kim - dogo huyo mahesabu yake makali sana - Trump alipungunza mukhali kuhusu Korea Kasikazini baada ya kusoma hali alisi akajua Kim si lelemama kama walivyo kuwa wanamfikiria - comments za Trump kuhusu Kim alisema hivi:" Kim is very smart upstairs, alitawala Korea Kasikasini akiwa na umri mdogo - miaka 26 tu" what does that tell us about Korean leader?
 
Ndiyo hivyo mkuu, Dunia isimu-underrate Kim - dogo huyo mahesabu yake makali sana - Trump alipungunza mukhali kuhusu Korea Kasikazini baada ya kusoma hali alisi akajua Kim si lelemama kama walivyo kuwa wanamfikiria - comments za Trump kuhusu Kim alisema hivi:" Kim is very smart upstairs, alitawala Korea Kasikasini akiwa na umri mdogo - miaka 26 tu" what does that tell us about Korean leader?
watu wanachukulia utawala wa korea kaskazini wa kimasihara tu, hawajui undani wake
 
watu wanachukulia utawala wa korea kaskazini wa kimasihara tu, hawajui undani wake
Well said mkuu, bahati nzuri hivi sasa Trump na utawala wake wamekwisha tambua kwamba Korea Kasikazini si nyoronyoro kama walivyo kuwa wanafikiria mwanzo, hafadhali watumie njia za kidiplomasia kuelewana nao kuliko kutumia nguvu, kwa hilo Trump nampongeza sana kwa kuepusha balaa.
 
Hili ndilo tatizo letu Watanzania, tunakimbilia ku comment bila ya kutafakari kilicho andikwa kwanza - please revisit my comments - kuna sehemu nimesema labda kama mkimbizi alitumia inner tube ya tairi - kwa akili za kawaida tu kwani tube ya ndani ya tairi la gari lina rangi gani???
Inner tube ya tairi haijatengenezwa mahsusi kama boya la kuogelea. Kwa mtu anayepanga kutoroka ni rahisi kubadili rangi ya boya na ni salama zaidi kuliko kutumia inner tube ya gari. Wote hatujui alitumia njia gani lakini.
 
Hakikisha pia unasoma hii kwenye google 'why North korean Defectors keep returning home' Source yake ni www.bussinesinsider.com ukishasoma hapo utashangaa kuona baadhi ya waliokimbia N/korea wakitaka kurudi tena N/korea.
 
Inner tube ya tairi haijatengenezwa mahsusi kama boya la kuogelea. Kwa mtu anayepanga kutoroka ni rahisi kubadili rangi ya boya na ni salama zaidi kuliko kutumia inner tube ya gari. Wote hatujui alitumia njia gani lakini.

Mkuu hapa tunajaribu kutumia logic ya kawaida tu, hivi kwa hali ilivyo hivi sasa huko mipakani mwa Korea ya Kasikazini na Kusini unafikiri mwanajeshi wa miaka 20 anaweza kutoroka kutoka kwenye Barracks akaenda Duka la kiraia Korea Kaskazini akanunua boya linalo tumika melini na kwenye ndege bila ya kutiliwa mashaka? Kwanza maboya ya type hiyo hayapatikani kirahisi Uraiani, niambie unaweza kuyanunua wapi hapa Tanzania kwa mfano, je, Korea Kasikazini si ndiyo kabisaa labda kama alikuwa ni mwanajeshi wa Navy, hata hivyo si rahisi kung'oa kifaa hicho Melini bila ya kushtukiwa na wenzake.

Binafsi ndiyo maana na insist kwamba bila shaka alitumia ana improvised bouy notably inner tube ya tairi kufanikiwa kutoroka, lakini kama alitumia a genuine Bouy hata kama alilipiga rangi kitendo hicho kimapaswa kuwatia mashaka ma General wa Korea Kusini kwamba huyo dogo ametumwa huko kama jasusi, mambo ya yeye kudai ni mkimbizi wa siasa/vita ni hadaa tu za kuzuga Uongozi wa Korea Kusini na wakuu wa base ya jeshi la Marekani huko Korea Kusini, USA ndiyo wenye usongo mkubwa wa kuhoji kijana huyo - my opinion.
 
wewe ndio unafuata story za kwenye vijiwe. yaani unasema google ndio chanzo cha habari? pole sana. Eti marekani haogopi kushambulia sababu ya washirika wake! tokea lini mmarikani akashindwa kupigana vita kisa kahofia taifa flani litadhulika? tokea lini mmarekani kapigana vita kashinda?
Nyie ndio aina ya watu dhaifu kabisa kwenye kufikiria. Mnalishwa mambo tu mnayameza kama yalivyo ndio maana unaamini hadi upuuzi.
hebu fuatilia news kupitia media za Urusi, Korea kaskazini na China ndio utajua dunia inavyokwenda. Sio kukaa tu unaangalia CNN na magazeti ya udaku.
source yako ni nini???
 
Dah Yani Enzi Hizo Ukute Generali Kim Lee Jun Anavuka Kutoka Goguryeo Kuja Silla Kufanya Nini?? Labda Kufwata Demu.
Na Hiyo Han Kwa Kipindi Cha Kina Jumong Hapo Angekua Anatoka Kwa Wababe Han China Kuja Goguryeo/Buyeo.
 
Kwa yanayoendelea ktk utawala wa yule jamaa ata me kwa vyvyte vile ningetokomea tu...
 
Bora wasimtaje majina maana ndugu na jamaa zake aliowaacha watapokea kibano ili iwe funzo kwa yeyote mwenye mawazo kama hayo.
Lakini pia wawe makini naye asiwe ametumwa kuwazuga tu ili asaidie katika maandalizi ya vita.

Inafaa ifahamike nchi hizi mbili bado zipo kwenye vita, hawakutia saini makubaliano ya amani ila walisitisha vita. Hivyo ina maana kwa lugha za kijeshi, wapo bado kwenye vita 'technically at war'.
Walisaini kitu kinaitwa 'Armistice Agreement' ambayo huruhusu mataifa kusitisha vita ili wazungumze, hivyo bado hawajatia saini 'Peace treaty'. Ina maana mnyukano unaweza kuibuka muda wowote hadi pale wataheshimiana na kuingia kwenye makubaliano ya amani.

Korea Kaskazini amewekeza sana kwenye kuelekeza mizinga na vifaa vyake vyote kutua mji mkuu wa Kusini, yaani kwamba vikibonyezwa, hata kama Marekani atafaulu kupangua kadhaa, lakini kuna mizinga mingi tu itatua Seoul na kusababisha vifo kwa mamilioni. Huwa sielewi kwanini Korea Kusini walijenga mji mkuu karibia na mpaka.

Siku zote mji mkuu unafaa kuwa katikati mwa nchi, ni kama tu hapo Bongo mumegoma kwenda Dodoma halafu mnategemea Dar ambayo ipo kwenye fukwe, siku mtaleta za kuleta kwa wazungu hapo nyambizi moja imetosha kuwatesa.
Kenya nasikia mnaenda kutafuta marafiki huko
 
Back
Top Bottom