HERY HERNHO
Member
- Mar 4, 2022
- 70
- 313
Wizara ya Ulinzi ya Japani imesema Korea Kaskazini imerusha kile kinachoonekana kuwa ni kombora.
Kikosi cha Ulinzi wa Pwani cha Japani kimeinukuu Wizara wa Ulinzi wa Japani ikisema kwamba kifaa hicho ni dhahiri kimetua.
Na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Korea Kusini ametangaza mnamo saa 5:09 leo Jumapili asubuhi kwa saa za nchi hiyo kuwa Korea Kaskazini imerusha kombora kuelekea Bahari ya Japani.
Kikosi cha Ulinzi wa Pwani cha Japani kimeinukuu Wizara wa Ulinzi wa Japani ikisema kwamba kifaa hicho ni dhahiri kimetua.
Na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Korea Kusini ametangaza mnamo saa 5:09 leo Jumapili asubuhi kwa saa za nchi hiyo kuwa Korea Kaskazini imerusha kombora kuelekea Bahari ya Japani.