sasa we unafikiri traffic ndiye legelege?Mwanajeshi legelege?!nchi kwishney!
nimewahi kuwasikia hao jamaa wa KM, wako kule Ukongo nasikia ni kikosi hatari sana, wanapiga karate sana, ni kweli pia ukiacha wale makomandoo wa JWTZ hiki ndicho kikosi kikali kwa matumizi ya mikono, sasa natamani hawa makorofi wa JWTZ WA MITAANI WANASE KWENYE MIKONO YA KM WA MAGEREZA WAKAKIONE CHA MOOTOwengi wakiona trafiki wanadhani pengine si askari mkakamavu,lakini matukio mawili yaliyotokea ubungo mataa la yule trafiki aliyetoa nishai majambazi ni mfano hai,pia yule aliyewazidi nguvu askari wa Jwtz mpaka wakaenda kumshambulia kwa kumchangia. askari wa majeshi yote Tanzania ukitoa wenye mafunzo maalum kama makomandoo wanauwezo sawa wa hand to hand war,tena kwa taarifa yenu hakuna kikosi kilichopikwa vizuri kwaajili ya hand to hand kama KM wa jeshi la magereza!
The silence class strago,,,,,,,
mjeda kakutana na kiboko yake....nao wamezidi saa ingine......lakini kilio kwa yangeyange....mbona ndio kumekucha......bakabaka...yangeyange....yangeyange....bakabaka....he he