Mwanajeshi wa JWTZ achezea Kipigo cha Trafic Tabata

Mwanajeshi wa JWTZ achezea Kipigo cha Trafic Tabata

wacha apigwe tatizo lao ni waonezi, hasa wakivaa magwanda yao hayo ya mabaka mabaka, na hawa cdm nao ni hivyo hivyo wakishava magwanda yao mabega juu hawataki kutii sheria za nchi ipo siku watauvaa mkenge watachezea kisago cha mbwa mwizi.
 
Hao wajeda wanaonea baadhi ya maeneo tu hasa yenye waswahili wengi mana waswahili wananongwa sana utasikia eti..'' wee usichezee mjeshi watakupiga mikanda haoo..'' hakuna lolote huku kwetu akijichanganya tunapiga tu...kama ulishasikiaga wananchi wameua mwanajeshi ndo huku...
 
Jamani mbona mnawajaza vichwa, eti majeda. Nchi za wenzetu mwanajenshi ni mfuasi wa raia lakini sisi tunawavimbisha vichwa. Mbona hamjifunzi? Ndo maana baadaye wanaingilia hata siasa zisizowahusu-Shimbo.
 
SAFIII. Ila inasikitisha sana kuona wachangiaji wengi humu bado wanawaona vijana wetu wa JW kama miungu watu. TUBADILIKE. Wanachowazidi raia ni UMOJA tu.
<br />
<br />
Wote mguu pande magamba mwili legezaaaaaaaaa
 
wacha apigwe tatizo lao ni waonezi, hasa wakivaa magwanda yao hayo ya mabaka mabaka, na hawa cdm nao ni hivyo hivyo wakishava magwanda yao mabega juu hawataki kutii sheria za nchi ipo siku watauvaa mkenge watachezea kisago cha mbwa mwizi.
<br />
<br />
Huoni wewe ndo mbwa mwizi eti cafuuu ngaringari
Mwanachama wa chama cha masaburi oyeeeeeeeeeeee jibu basi
 
Hicho kipigo mbona kilikuwa kidogo. sifurahii ila sometimes....!
 
Lazima wanajeshi wetu wafundishwe namna ya kuishi uraiani, siyo kwata na kubeba mabunduki tuuu! Wengi wao wanafikiri ukiwa mjeda basi una haki zaidi kuliko raia wengine. Dhana kwamba wao ni wa raia hawajawahi kuisikia. Thats why wanafikiri hawapaswi kukaa foleni benki wala kusubiria foleni barabarani.
 
Lazima ashitakiwe huyo staff sergeant na ikiwezekana atolewe cheo au afukuzwe kazi, hayuko juu ya sheria, Traffic Police alikuwa kazini. Elimu ndogo ya uraia ndo tatizo.
 
Huyo traffic anatakiwa kuhama mara moja.Kwa umoja wa jwtz huyo bwana atatafutwa na kukatwakatwa.
 
Hao wakivaa yale magwanda hujiona kama ni miungu watu. <br />
<br />
Na ndio kama hayo yanawakumba wana cdm kwa sasa wakivaa magwanda yao, aaahhhh basi wao ni miungu watu, tayari nchi yao. Wakiingia na humu JF kupigana porojo za wao kwa wao ooohhh tayari nchi ni yao na wengine wote hawana akili.
<br />
<br />
WEWE NDIE MNAFIKI WA CCM, TUKO KWENYE MADA NYINGINE WE UNAANZA KUIONGELEA CDM, jaribu kusoma mazingira sio sehemu oooh cdm,acha upimbi we juha.
 
ambao wamepita kambini kidogo wanafaham kwamba hilo bifu ndio limeanza, maskini trafic ametangaza vita ya muda mrefu. Mwisho wa siku ni lazima apige kwata na kujaza pipa la maji kwa kisoda, then atapiga magoti na kuomba radhi na atapewa task ya kuwaambia wenzie kilichompata ili wakiona jwtz waogope.
 
Huyo traffic police anatakiwa kupewa Tuzo ya heshima kwa dozi aliyompatia Mwanajeshi! Wanajeshi hasa wenye mbavu za mmbwa wamekuwa wasumbufu sana uraiani, wakishavuta bhange zao na kuchanganya na vibia vya bei nafuu basi inakuwa ni kero tupu.
 
ambao wamepita kambini kidogo wanafaham kwamba hilo bifu ndio limeanza, maskini trafic ametangaza vita ya muda mrefu. Mwisho wa siku ni lazima apige kwata na kujaza pipa la maji kwa kisoda, then atapiga magoti na kuomba radhi na atapewa task ya kuwaambia wenzie kilichompata ili wakiona jwtz waogope.
<br />
<br />
Acha kutisha watu, Tanzania inajeshi lenye viwango? Wenzetu wanasherehekea matumizi ya teknolojia jeshini, na kuwa na wanajeshi wasomi ( wenye elimu ya uraia) si bado tunakumbatia uchafu huu unaolipaka matope aghalabu jeshi chovu!
Jifunze ya kwamba jeshini kuna " military training standards" zenye kumjengea mwanajeshi uwezo pamoja na discipline. On the other hand kuna "inhuman torture" ambazo hazimjengi mwanajeshi zaidi ya kuharibu ubongo wake " psychological damage". Na hawa walioharibiwa bongo zao ndo wengi.
 
ila kwakweli ni tukio lililoonesha wanajeshi wa JWTZ , namna gani wanapenda short cuts hata ambapo panahitaji subira, raia woote walikubali kusubiri kasoro wao, raia woote walitulia kwakua walielewa anachofanya Trafic, kasoro Mwanajeshi yule ndio hakuona mantinki ya kazi ya trafic yule, na bila shaka alidhani nguo nyeupe za trafic ni ishara ya unyonge na mabaka ni ishara ya ukakamavu, akachezea kichapo hasa, kwanza ule mtama wa Trafic nadhani ilikua warning tosha yale ni maji mazito, ila sema kiburi chjake kikamfanya atake kuonyesha umwamba.
 
wajeshi wamezidi sana ubabe hao kapata kiboko yake
 
mjeda kakutana na kiboko yake....nao wamezidi saa ingine......lakini kilio kwa yangeyange....mbona ndio kumekucha......bakabaka...yangeyange....yangeyange....bakabaka....he he

Kumbe kiswahili kigumu, hapa nimtoka kapa
 
wengi wakiona trafiki wanadhani pengine si askari mkakamavu,lakini matukio mawili yaliyotokea ubungo mataa la yule trafiki aliyetoa nishai majambazi ni mfano hai,pia yule aliyewazidi nguvu askari wa Jwtz mpaka wakaenda kumshambulia kwa kumchangia. askari wa majeshi yote Tanzania ukitoa wenye mafunzo maalum kama makomandoo wanauwezo sawa wa hand to hand war,tena kwa taarifa yenu hakuna kikosi kilichopikwa vizuri kwaajili ya hand to hand kama KM wa jeshi la magereza!
 
askari wetu wa jw hawana kazi ndo maana wanapataga muda wa kukusanyana kwenda kulipa visasi,ila kiboko yao ni Kikosi Maalum a.k.a KM wa magereza hao uniform zao ni za magereza ila zinamifuko kama za FFU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom