Kuna jamaa mmoja ambaye ni SHOGA alienda kwenye sherehe za nane nane basi kutokana na msongamano wa watu akamkanyaga mwanajeshi mmoja kwa bahati mbaya, basi yule mwanajeshi akamwambia "wewe SHOGA uwe unaangalia chini ukitembea siyo unakanyaga kanyaga watu hapa au upo kazini nini?"
Basi yule shoga akamuona polisi anakuja, akaamua kumshitaki yule mwanajeshi, na maongezi yake na polisi yakawa kama ifuatavyo;
SHOGA: Afande huyu mwanajeshi kanitukania kazi yangu.
POLISI: Sasa wewe unataka tumchukulie hatua gani?
SHOGA: Mi nataka uniruhusu nimrudishie na yeye.
POLISI: Haya mrudishie
SHOGA: (huku akimnyooshea kidole yule mwanajeshi) MWANAJESHI, MWANAJESHI, TENA KAMANDA WEWE
Basi yule shoga akamuona polisi anakuja, akaamua kumshitaki yule mwanajeshi, na maongezi yake na polisi yakawa kama ifuatavyo;
SHOGA: Afande huyu mwanajeshi kanitukania kazi yangu.
POLISI: Sasa wewe unataka tumchukulie hatua gani?
SHOGA: Mi nataka uniruhusu nimrudishie na yeye.
POLISI: Haya mrudishie
SHOGA: (huku akimnyooshea kidole yule mwanajeshi) MWANAJESHI, MWANAJESHI, TENA KAMANDA WEWE