Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,241
- 4,445
Ndio mtupende kwa akili tena muwe na akili za ziada sio za kushikiliwa.... Tatizo mnatupenda kumoyo...... Moyo kazi yake kusukuma Damu.....Kupenda mwanamke ni sawa na.kupanda bodaboda na kuweka matumaini yako na uhai wako kwa muhuni